Lowassa Amjibu Slaa

Lowassa Amjibu Slaa

Dr. Blaa anajiaibisha. Ikiwa kweli anataka kuongelea ufisadi, na airejee ile list of shame A-Z, lkn huku kumuandama Lowassa ni sababu tu 'kapigwa bao'. Sasa anajua fika kuwa ngonjera zake zimekosa mashiko na sasa anajifanya ETI ni Utanzania wake unamuongoza.

Hata kama Lowassa angekiri mbele yangu leo hii kwamba alipocket something from RICHMOND bado sitataka kuamini kwamba matatizo yooote ya nchi hii yameletwa na Lowassa. Agenda ya kipuuzi kabisa kuingolea majukwaani, tena inapoongewa na waliopaswa kuchukua hatua. Mungu ampe nguvu Lowassa.
 
Kwani hao wengine huko waliko ni wagombea Urais.?

Kwani ili fisadi au mwizi ashitakiwe ni mpaka awe mgombea uraisi??
Unamaanisha kwa kuwa hao wengine hawagombei ndo sababu yakutotajwa au kushambuliwa/kushtakiwa????
 
Mwalimu wa sheria Dr Mwakyembe kashafafanua kwamba lowasa atashtakiwa na kupelekwa mahakamani na kwamba ushahidi wote upo. Hata Dr Slaa nae kasibitisha ushahidi upo, ni jambo la kusubiri na kuona

Wakati tunasubiri kura yangu na familia yangu inakwenda kwa Lowasa
 
Mbona mwenye serikali hajitokezi kukanusha kwani ujumbe haujamfikia ?. Na juzi tumbili kamtaja mbona mkulu kauchuna . Ila Dr mihongo ndiyo analazimisha rais wetu lowasa aje . Dr mihogo nakuomba ujue lowasa yuko bz we uko free ukipenda nakushauri TV zote zikupe airtime ya 24hrs lakini hutoweza kuturubuni watanzania tumeamua mabadiliko .
 
Napata tabu sana kuelewa kwann jitu ambalo “limethibitika beyond doubt” kuwa ni jizi na fisadi halishughulikiwi kisheria na wananchi tunabaki kubishana mtandaoni.. Ama kuna kitu namiss hapa?
Kinachomis ni kuwa umelishwa sumu mbaya kuamini beyond reasonable doubt(sijui kama unajua maana ya hilo neno) kuwa EL ni mwizi. The only instiitution inayoweza kujiridhisha pasipo mashaka - beyond reasonable doubt ni mahakama pekee. So long EL hajadhibitishwa na mahakama kuwa ni mwizi, kumuita hivyo ni kosa la jinai na unaweza kufunguliwa mashitaka ya kuzusha. Acha kulishwa mizoga na ccm na Samsoni wao Slaa. Delila keshamnyoa kipara Samsoni na nguvu zimemuishia anazunguka kwenye matv na kukaa hotelini. Kukaa hotelini sio kuhofia usalama bali amekuwa contained na ratiba yake na movements zake zote hata simu zake. Wanamtumia watakavyo wakishamaliza kiu yao atatupwa nje kama mzoga
 
Nilitangaza hadharani kuwa nilitaka kuvunja mkataba wa richmond nikazuiwa na mamlaka kutoka juu, pia nikasema kama yupo mwenye ushahidi wa mimi kuhusika na richmond ajitokeze hadharani na anipeleke mahakamani!! Huyo aliezungumza jana kuwa ana huo ushahidi siku nyingi mbona hakunishtaki?

Edward Lowasa


Ha haa haaaa! Hata mitaani kuna watu wananunuliwa viroba halafu wanapewa maneno ya kuwadhalilisha watu hadharani. Huyu mzee naye inabidi tujiulize kulikoni?
 
Mwalimu wa sheria Dr Mwakyembe kashafafanua kwamba lowasa atashtakiwa na kupelekwa mahakamani na kwamba ushahidi wote upo. Hata Dr Slaa nae kasibitisha ushahidi upo, ni jambo la kusubiri na kuona

Sawa kiongozi ngoja tuvute subra kidogo manake ni miaka tisa sasa karibia
 
Kinachomis ni kuwa umelishwa sumu mbaya kuamini beyond reasonable doubt(sijui kama unajua maana ya hilo neno) kuwa EL ni mwizi. The only instiitution inayoweza kujiridhisha pasipo mashaka - beyond reasonable doubt ni mahakama pekee. So long EL hajadhibitishwa na mahakama kuwa ni mwizi, kumuita hivyo ni kosa la jinai na unaweza kufunguliwa mashitaka ya kuzusha. Acha kulishwa mizoga na ccm na Samsoni wao Slaa. Delila keshamnyoa kipara Samsoni na nguvu zimemuishia anazunguka kwenye matv na kukaa hotelini. Kukaa hotelini sio kuhofia usalama bali amekuwa contained na ratiba yake na movements zake zote hata simu zake. Wanamtumia watakavyo wakishamaliza kiu yao atatupwa nje kama mzoga

Again umemiss sarcasm.. Ngoja nikuandikie kiswahili… nilikuwa namaanisha kama ushahidi upo kila kitu kipo kwann hapelekwi mahakamani tunaambiwa wananchi tu kwenye majukwaa… hapo je umeelewa?
 
Sipati picha hiyo siku Lowassa anaapishwa!! Hiyo nyomi itakaa wapi kushuhudia taifa la watanzania wakipata uhuru na mamlaka halisi katika nchi yao waliyoikosa kwa miaka nenda rudi.
pumbavu sana
 
"CCM mkitaka #KURA yangu semeni ukweli nani anahusika na hizi tuhuma? na wahusika wamechukuliwa hatua gani?
-Katiba pendekezwa nani aliyaondoa maoni ya wananchi ambayo yalikuwepo kwenye rasimu ya Warioba?
-Mabehewa feki
-Kiwira
-Richmond
-Epa
-Escrow
-Epa
-Dowans
-IPTL
-NET GROUP SOLUTIONS
-Usafirishaji wa wanyama nje ya nchi mfano twiga alipandaje ndege?
-Biashara ya pembe za ndovu
-Biashara ya madawa ya kulevya
-Meremeta
-Mikataba ya gesi na mafuta
-Uuzwaji wa nyumba za serikali
Nahitaji majibu ya hayo maswali siyo porojo tuuuuu.
 
Tuhamashishe marafiki zetu..wapige simu mikoan kwa ndg zao ili tuunganishe nguvu za kuleta mabadiliko.
Pia kila mmoja wetu popote aendapo asiache kushawishi watu hata wa3 kwa siku ili tuwe na nguvu zaidi..
Itakuwa vizuri tukishare kati yetu namna nzuri ya kutafuta wafuasi.
J2 njema....people's. .....
 
Ameshakaa nae kwa miaka 5 na anaelekea kumchoka hadi shule ikamilike atakua na totos mwingine!
 
Hivi hawa wanaomcrash DR ni team lowasa, M4C,ulipo tupo au Hapa kazi tu
Naomba tu kujua.
 
Kinachomis ni kuwa umelishwa sumu mbaya kuamini beyond reasonable doubt(sijui kama unajua maana ya hilo neno) kuwa EL ni mwizi. The only instiitution inayoweza kujiridhisha pasipo mashaka - beyond reasonable doubt ni mahakama pekee. So long EL hajadhibitishwa na mahakama kuwa ni mwizi, kumuita hivyo ni kosa la jinai na unaweza kufunguliwa mashitaka ya kuzusha. Acha kulishwa mizoga na ccm na Samsoni wao Slaa. Delila keshamnyoa kipara Samsoni na nguvu zimemuishia anazunguka kwenye matv na kukaa hotelini. Kukaa hotelini sio kuhofia usalama bali amekuwa contained na ratiba yake na movements zake zote hata simu zake. Wanamtumia watakavyo wakishamaliza kiu yao atatupwa nje kama mzoga

siyo mzoga, kama 'NDOMU
 
Mbona unajibu kwa hasira, au madhara ya kutawaliwa na ccm muda mrefu.?
Ni JF pekee mtu anapojidai kumjua mtu ambaye hajawahi hata kumuona!
Sasa mbona hapo nimejibu kikawaida sana? Hasira unazijua wewe?
Naona ukiona yeyote anayemtaja Dr. Mihogo wako unapanic kwelikweli.
Pole bibie Josephine.
 
Back
Top Bottom