Lowassa Amjibu Slaa

Lowassa Amjibu Slaa

anayetapatapa ni yule mwenye agenda moja for 8 years au huyu aliyejibu agenda ya miaka 8 kwa sentensi tatu?

Shida kubwa ya upeo kwa watanzania... no wonder we can achieve anything

u cant achieve anything sababu umejitoa ufahamu...tena mm ningekua lowasa wala nisingejibu..ww uuna ushahidi wa miaka 8 wa wizi huendi kushtaki huonibkua ww ndo chizi kabisa
 
anayetapatapa ni yule mwenye agenda moja for 8 years au huyu aliyejibu agenda ya miaka 8 kwa sentensi tatu?

Shida kubwa ya upeo kwa watanzania... no wonder we can achieve anything

Kazi ipo Bro.
 
Eti nilikuwa mojawapo ya list of shame! Hata kama ingekuwa kweli, hiyo list ilikuwa na watu wangapi, mimi ndio niko upinzani nashambuliwa hao wengine wako wapi? Tusonge mbele, mabadiliko ni lazima
Edward Lowasa.

Mi nilijua katoa ushahidi.... kumbe kajibu hivyo... majibu mepeeeeeesi... ajitokeze hadharani na ushahidi. ili slaa atoe zile silaha alizobakiza
 
hoja a kitoto kabisa hii anatoa lowasa, hvi kwa hoza hz za kilofa alafu ndio awe raisi wa nchi?? hatumchagui lowasa labda awe katuloga


Eti nilikuwa mojawapo ya list of shame! Hata kama ingekuwa kweli, hiyo list ilikuwa na watu wangapi, mimi ndio niko upinzani nashambuliwa hao wengine wako wapi? Tusonge mbele, mabadiliko ni lazima
Edward Lowasa.
 
mmh,cjui mzee Blaa hajui mahakama ilipo!kajbiwa acordingly,studio ndo mahakama au kanataka uza sura japo wrinkles zmejaa
 
LOWASSA anajibu short and clear! Huyu ndiye Rais tumtakaye!!
 
Mi nilijua katoa ushahidi.... kumbe kajibu hivyo... majibu mepeeeeeesi... ajitokeze hadharani na ushahidi. ili slaa atoe zile silaha alizobakiza

Kichwa choo ubongo haja kubwa!Lowassa ajitokeze na ushahidi gani sasa wakati yeye ndio anayetuhumiwa.Hao wanaomtuhumu ndio wapeleke huo ushahidi mahakamani siyo kupeleka studio kama anavyofanya Dr Cassava.
 
Eti nilikuwa mojawapo ya list of shame! Hata kama ingekuwa kweli, hiyo list ilikuwa na watu wangapi, mimi ndio niko upinzani nashambuliwa hao wengine wako wapi? Tusonge mbele, mabadiliko ni lazimaEdward Lowasa.
"Anae muunga mkono lowassa akapimwe akili"
 
Sipati picha hiyo siku Lowassa anaapishwa!! Hiyo nyomi itakaa wapi kushuhudia taifa la watanzania wakipata uhuru na mamlaka halisi katika nchi yao waliyoikosa kwa miaka nenda rudi.
 
Ukiona hata mtoto wako wakati anakuwa hajawahi kusingiziwa kitu chochote hata siku moja wala hajawahi kukuingiza hasara hata ya kupasua grasi ujue huyo mtoto wako akikua atakuja kuwa hana akili vizuri.
 
hoja a kitoto kabisa hii anatoa lowasa, hvi kwa hoza hz za kilofa alafu ndio awe raisi wa nchi?? hatumchagui lowasa labda awe katuloga

Napata tabu sana kuelewa kwann jitu ambalo “limethibitika beyond doubt” kuwa ni jizi na fisadi halishughulikiwi kisheria na wananchi tunabaki kubishana mtandaoni.. Ama kuna kitu namiss hapa?
 
Eti nilikuwa mojawapo ya list of shame! Hata kama ingekuwa kweli, hiyo list ilikuwa na watu wangapi, mimi ndio niko upinzani nashambuliwa hao wengine wako wapi? Tusonge mbele, mabadiliko ni lazima
Edward Lowasa.

Kwa mtu mpumbavu kama Lowasa uwezi, kujibu kwa wepesi hivyo, labda kwa nyumbu watakuelewa, Anasema wengine wako wapi idiot!!!, wangapi wanagombania urais si ni wewe tu, Mwizi ni mwizi tu tunataka mtu safi na siyo mwizi kama wewe.
 
Back
Top Bottom