Lowassa Amjibu Slaa

Lowassa Amjibu Slaa

anayetapatapa ni yule mwenye agenda moja for 8 years au huyu aliyejibu agenda ya miaka 8 kwa sentensi tatu?

Shida kubwa ya upeo kwa watanzania... no wonder we can achieve anything
mazombie wa mbowe bana! miaka nane mmekua mnamuita edo fisadi baada ya kuhongwa bil 10 kimya. si mbowe lissu wala mdee anazungumza tena kuhusu maadili washakula rushwa. mbowe anabwabwaja porojo kwenye majukwaa utadhani dj au mc.
 
Kwa mtu mpumbavu kama Lowasa uwezi, kujibu kwa wepesi hivyo, labda kwa nyumbu watakuelewa, Anasema wengine wako wapi idiot!!!, wangapi wanagombania urais si ni wewe tu, Mwizi ni mwizi tu tunataka mtu safi na siyo mwizi kama wewe.

kumbe tatizo ni madaraka,uwaziri mkuu aliwaachia,na urais nao mnataka awaachie,Dr mihogo hawezi kuwa rais
 
anayetapatapa ni yule mwenye agenda moja for 8 years au huyu aliyejibu agenda ya miaka 8 kwa sentensi tatu?

Shida kubwa ya upeo kwa watanzania... no wonder we can achieve anything

Nyie ndo wale hata ukiulizwa jina lako huwezi kujibu mpaka uanze na historia kwanza wakati umeulizwa jina tu so sikushangai sana
 
Weng Mnaochangia Hapa Ni Wapuuz Hata Mgombea Wenu Mwenyewe, Slaa Kakomaa Na Lowassa Kwakuwa Anagombea Urais Uku Ana Kashfa Nyingi, Sasa List Of Shame Waliobak Wanagombea Urais?
Usitukane, jadili kwa staha tu.Bahati mbaya wale wasiogombea ndiyo wabaya zaidi kiufisadi. Raisi anaweeza dhibitiwa kirahisi.
 
Mafisadi na majizi walioifikisha hii nchi hapa ilipo wanajulikana haina haja kuwataja kwani hujui ni chama gani kipo madarakani?Endelea kujitoa ufahamu mwaka mjiandae kisakolojia kuwa wapinzani.
TANZANIA MPYA INAKUJA.
LOWASA NDO RAISI WETU MTARAJIWA.

Unapouzungumzia ufisadi wa CCM,unakosaje kuwataja Sumaye na Lowasa,labda hujui unachokishabikia.Mguu uliokanyaga mavi hautaacha kutoa harufu eti kwa sababu umefichwa na soksi na kiatu.Hao jamaa bado wana harufu ya ufisadi
 
Eti nilikuwa mojawapo ya list of shame! Hata kama ingekuwa kweli, hiyo list ilikuwa na watu wangapi, mimi ndio niko upinzani nashambuliwa hao wengine wako wapi? Tusonge mbele, mabadiliko ni lazima
Edward Lowasa.

Hayo majibu kayatoa lini? Au ndio watoto wa bavicha mmekuw mdomo wake kam mbatia? Hatutak poroj yy kam anajiamin apinge hadhalan
 
Unapouzungumzia ufisadi wa CCM,unakosaje kuwataja Sumaye na Lowasa,labda hujui unachokishabikia.Mguu uliokanyaga mavi hautaacha kutoa harufu eti kwa sababu umefichwa na soksi na kiatu.Hao jamaa bado wana harufu ya ufisadi

Huyo nadhani akili yake imechoka, nadhani pia yeye kazoea kukaririshwa mambo, nilidhani kuwa angesema kuwa mgombea wao ni fisadi ili mjadala uwe mzuri, ss anaposema wengine wako huko ccm simweli kabisa, ccm iliwakataa, kwa sababu ya tamaa ya mwekiti wao Mbowe ndo imewafikisha hapo, Elimu ndogo ya Mbowe ndo imeifisha hapo chadema, na safari hii baada ya uchaguzi atabakia yy na baba mkwe wake Mtei na chama chao. ukiona kuchanganyikiwa ndo huku, mnasema mmeungana kumbe mmeondoa wanasiasa wakongwe kwenye vyama vyenu, ss mtawarudisha vipi Lowasa anashindwa uchaguzi na hataweza kuendelea na chadema na ndo maana hapendi kuvaa gwanda, kwani yy si sehemu ya kupiga kelele ovyo ovyo, ila imemlazimu kufanya hivyo kwa maana tu ya kutafuta urais.

nadhani mjiandae tena kuwatukana akina Mbowe, Mbatia, Sharif mzee Motomoto yeye hata huko jimboni wamemkataa kabisa nadhani yy alijiingiza tu kwenye UKAWA akidhani ndo ulikuwa muda muafaka kwake kupata Ubunge.
 
Mwalimu wa sheria Dr Mwakyembe kashafafanua kwamba lowasa atashtakiwa na kupelekwa mahakamani na kwamba ushahidi wote upo. Hata Dr Slaa nae kasibitisha ushahidi upo, ni jambo la kusubiri na kuona

Napata tabu sana kuelewa kwann jitu ambalo “limethibitika beyond doubt” kuwa ni jizi na fisadi halishughulikiwi kisheria na wananchi tunabaki kubishana mtandaoni.. Ama kuna kitu namiss hapa?
 
anayetapatapa ni yule mwenye agenda moja for 8 years au huyu aliyejibu agenda ya miaka 8 kwa sentensi tatu?

Shida kubwa ya upeo kwa watanzania... no wonder we can achieve anything

uko sahihi mkuu, we cannot achieve anything under ccm... never, ccm should go. Slaa imekula kwake akale mihogo huko
 
Padri mla nyama za watu hana jipya tena na ataendelea kula nyama za watu mpaka anaingia kaburini.
 
QUOTE=Kokolo;13895649]Kwa mtu mpumbavu kama Lowasa uwezi, kujibu kwa wepesi hivyo, labda kwa nyumbu watakuelewa, Anasema wengine wako wapi idiot!!!, wangapi wanagombania urais si ni wewe tu, Mwizi ni mwizi tu tunataka mtu safi na siyo mwizi kama wewe.[/QUOTE]

Sio Lazima wawepo katika kugombea urais hata hao waliotajwa na bado hawakushughulikiwa nao tuwaongele. Let talk kuhusu escrow still kuna watu pia wamerudi kugombea ubunge hii nchi there a lot of sub standard!! No wonder but ipo siku...!!!!
 
Nilitangaza hadharani kuwa nilitaka kuvunja mkataba wa richmond nikazuiwa na mamlaka kutoka juu, pia nikasema kama yupo mwenye ushahidi wa mimi kuhusika na richmond ajitokeze hadharani na anipeleke mahakamani!! Huyo aliezungumza jana kuwa ana huo ushahidi siku nyingi mbona hakunishtaki?

Edward Lowasa
Lowasa akili zake nyepesi sana anazidiwa na kiranja mkuu uwezo wa kufikiri.
 
Lowasa sio size yenu kuwajibu yeye atawjibu baada ya uchaguzi akiwa ikulu sasa hivi yeye ni kumwaga sera za ukawa tuu basi
 
Back
Top Bottom