Lowassa Amjibu Slaa

Lowassa Amjibu Slaa

Kwani ili fisadi au mwizi ashitakiwe ni mpaka awe mgombea uraisi??
Unamaanisha kwa kuwa hao wengine hawagombei ndo sababu yakutotajwa au kushambuliwa/kushtakiwa????
Hao wengine wataje wewe, sisi tupo na anaetaka madaraka kwa gharama yoyote ile.
 
Tuhamashishe marafiki zetu..wapige simu mikoan kwa ndg zao ili tuunganishe nguvu za kuleta mabadiliko.
Pia kila mmoja wetu popote aendapo asiache kushawishi watu hata wa3 kwa siku ili tuwe na nguvu zaidi..
Itakuwa vizuri tukishare kati yetu namna nzuri ya kutafuta wafuasi.
J2 njema....people's. .....
Mm na ndg. Rafiki, na mAjirani tumekubaliana kwa pamoja tumuangamize ccm mnamo trh 25
 
Ni JF pekee mtu anapojidai kumjua mtu ambaye hajawahi hata kumuona!
Sasa mbona hapo nimejibu kikawaida sana? Hasira unazijua wewe?
Naona ukiona yeyote anayemtaja Dr. Mihogo wako unapanic kwelikweli.
Pole bibie Josephine.

Haya mkuu Jumapili Njema.!
 
Ni JF pekee mtu anapojidai kumjua mtu ambaye hajawahi hata kumuona!
Sasa mbona hapo nimejibu kikawaida sana? Hasira unazijua wewe?
Naona ukiona yeyote anayemtaja Dr. Mihogo wako unapanic kwelikweli.
Pole bibie Josephine.

Ana ka brand kapya hivi sasa anafahamika kama DR LOVE PIMBI aka Dr Mihogo.Mwenye kununa na ananune but muasi huwa ana majina mengi.
 
nenda mahakamani,atakuja na majibu mazito.
mbona sio muelewa mkuu.. yeye hayuko kwenye nafasi ya kushtaki kesi za aina hiyo. Serikali pekee ndo yenye nafasi hiyo. Hawataki kushake state coz prezidaa nae anahusika. Sisi tutamhukumu kwa ile torati yetu.. tunamyima kura. Ushahidi huo sasa ataupeleka baada ya kesi kufunguliwa.. baada tu ya magufuli kuingia ikulu. Jk anayokinga ya kushtakiwa.. so haitamgusa. Ataenda kunyea debe huyu mzee.. ndo akome kuanzisha vita ya mawe huku anaishi kwenye nyumba ya vioo
 
Eti nilikuwa mojawapo ya list of shame! Hata kama ingekuwa kweli, hiyo list ilikuwa na watu wangapi, mimi ndio niko upinzani nashambuliwa hao wengine wako wapi? Tusonge mbele, mabadiliko ni lazima
Edward Lowasa.

Hili nalo ni jibu? Au kukubali kosa?
 
mazombie wa mbowe bana! miaka nane mmekua mnamuita edo fisadi baada ya kuhongwa bil 10 kimya. si mbowe lissu wala mdee anazungumza tena kuhusu maadili washakula rushwa. mbowe anabwabwaja porojo kwenye majukwaa utadhani dj au mc.

MIaka nane tumemwita Edo fisadi, miaka nane hiyohiyo kumekua na ufisadi zaidi baada ya Edo kutoka, ndani ya miaka nane hiyohiyo wale mafisadi wengine wa list of shame wameendelea kupiga pesa (ukiondoa Mramba, Yona, Mgonja na Balali), ndani ya miaka nane hiyohiyo albino wamekua kama ndezi

Wacha mbowe abwabwaje...
 
Back
Top Bottom