idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,298
- 38,438
Hao wengine wataje wewe, sisi tupo na anaetaka madaraka kwa gharama yoyote ile.Kwani ili fisadi au mwizi ashitakiwe ni mpaka awe mgombea uraisi??
Unamaanisha kwa kuwa hao wengine hawagombei ndo sababu yakutotajwa au kushambuliwa/kushtakiwa????