Hivi lumumba wote hamna akili eeh? Mnasema mnaushahidi mtuhumiwa anawaambia mumshtaki mnaogopa tuwaeleweje? Au kwenu nyinyi dawa ya ufisadi ni midahalo sio kupeleka mahakamani wafilisiwe na kufungwa. Hamna jipya. LOWASSA AMEWASHIKA PABAYA.Majibu mepesi kwa hoja ya msingi
Eti nilikuwa mojawapo ya list of shame! Hata kama ingekuwa kweli, hiyo list ilikuwa na watu wangapi, mimi ndio niko upinzani nashambuliwa hao wengine wako wapi? Tusonge mbele, mabadiliko ni lazima
Edward Lowasa.
Kwakuwa Dr ulisema huwa unapita huku,basi naomba tu ujue kuwa hata ile heshima ndogo uliyokuwa umebaki nayo sasa tushaiondoa pia
Nilitangaza hadharani kuwa nilitaka kuvunja mkataba wa richmond nikazuiwa na mamlaka kutoka juu, pia nikasema kama yupo mwenye ushahidi wa mimi kuhusika na richmond ajitokeze hadharani na anipeleke mahakamani!! Huyo aliezungumza jana kuwa ana huo ushahidi siku nyingi mbona hakunishtaki?
Edward Lowasa
Ni Tanzania pekee MTU anayedai ana ushahidi wa wizi mkubwa na ufisadi anaupeleka studio badala ya mahakamani huku akimtaka mtuhumiwa ndio aende mahakamani...
Kwani hao wengine huko waliko ni wagombea Urais.?
Napata tabu sana kuelewa kwann jitu ambalo limethibitika beyond doubt kuwa ni jizi na fisadi halishughulikiwi kisheria na wananchi tunabaki kubishana mtandaoni.. Ama kuna kitu namiss hapa?
lakini si umeyaelewa? Una ushahidi, upeleke kwa DPPMajibu mepesi kwa hoja ya msingi
Majibu mepesi kwa hoja ya msingi
Ushahidi anatakiwa kwanza kuutoa anayeshitaki... Mihogo kama ana ushahidi, anatakiwa aupeleke kwa DPPMi nilijua katoa ushahidi.... kumbe kajibu hivyo... majibu mepeeeeeesi... ajitokeze hadharani na ushahidi. ili slaa atoe zile silaha alizobakiza
Kwa mtu mpumbavu kama Lowasa uwezi, kujibu kwa wepesi hivyo, labda kwa nyumbu watakuelewa, Anasema wengine wako wapi idiot!!!, wangapi wanagombania urais si ni wewe tu, Mwizi ni mwizi tu tunataka mtu safi na siyo mwizi kama wewe.
Mmeiondoa wewe na nani.?
Dr. Mihogo ni kibaraka tu. Habadili mtu asilani!!! Tumeshaianza safari kuitafuta Kaanani... Haturudi wala kugeuka kuitazama Misri..Hivi bado hamjakoma?Ngoja Dr.Slaa arudi kivingine aendelee kuwasambaratisha mafisadi mliowakumbatia.Mwaka huu hadi mseme poooo badala ya pipo
Dr. Mihogo ni kibaraka tu. Habadili mtu asilani!!! Tumeshaianza safari kuitafuta Kaanani... Haturudi wala kugeuka kuitazama Misri..