Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,519
- 32,675
hamna asiye jua athali za ufisadi katika maendeleo ya nchi mpaka kwa mtu moja moja kama ndivyo kwa nini hii serikali sikivu isiwafungulie mashtaka hao watu walio sababisha dardship kwa wanachi kiuchumi kwa kufanya ufisadi mkubwa inawaacha tu,serikali gani haina meno mpaka waziri mkuu/Raisi anakua juu ya nchi this is stupidity. Jk anayokinga ya kushtakiwa.. so haitamgusa-hapa ndipo panaonyesha ni jinsi gani ulivyo mwenye chuki,umesema mwenyewe kuwa prezidar anahusika tena yeye ndo kinara unamwacha yeye unampeleka E.L ar u serious kwel mkuu,badili mtazamo wako ni bora nugesema wapelekwe wote ningekuona wa maana Ataenda kunyea debe huyu mzee.. ndo akome kuanzisha vita ya mawe huku anaishi kwenye nyumba ya vioo[/QUOTE]