Lowassa Amjibu Slaa

Lowassa Amjibu Slaa

Umekaririshwa hilo neno la beyond reasonable doubt... Mamlaka yenye kuthibisha hayo ni Public Prosecutor pale mahakamani.. Sasa jiulize why hawampeleki kwa court mtu wanayemtuhumu ni mwizi tena wana ushahidi! ( The one who alleged must prove)....

Bro shtuka, amka hivi Mama yako akibakwa au baba yako akilawitiwa nani ataye fungua shauri? Unadhani polisi watakuja kuwabembeleza wazazi wako?

#T2015ENL #Mabadiliko

Mkuu naona umemiss sarcasm kwa post yangu.. Read between the lines kabla hujakurupuka kujibu
 
Sisi tunazidi kusonga mbele adui yetu siyo Dr.Slaa wala Lowasa aduia yetu ni wale majizi na mafisadi waliyoifikisha nchi yetu hapa ilipo kwa sasa mwaka huu lazima tuwapumzishe.
TANZANIA MPYA INAKUJA CHINI UTAWALA MPYA WA KIPENZI CHA WATANZANIA LOWASA.
 
Wanaongea maneno 99999999999999999999, like a boss lowasa anajibu kwa neno 1
 
Sisi tunazidi kusonga mbele adui yetu siyo Dr.Slaa wala Lowasa aduia yetu ni wale majizi na mafisadi waliyoifikisha nchi yetu hapa ilipo kwa sasa mwaka huu lazima tuwapumzishe.
TANZANIA MPYA INAKUJA CHINI UTAWALA MPYA WA KIPENZI CHA WATANZANIA LOWASA.

Kumbe adui zenu ni majizi na mafisadi!!mbona viongozi wako hawathubutu kutamka hayo maneno hata kwenye ilani ya Chadema hakuna hayo maneno,wewe umeyatoa wapi?
 
anayetapatapa ni yule mwenye agenda moja for 8 years au huyu aliyejibu agenda ya miaka 8 kwa sentensi tatu?

Shida kubwa ya upeo kwa watanzania... no wonder we can achieve anything

Huyo mropoka padri msaliti alitoa maelezo mengi hayaeleweki lakini mkuu wangu rais wangu mtarajiwa katoa sentens tatu na zimeeliweka
 
Iwe kwako pia mkuu, asante sana.

Sisi tunasonga mbele mkuu mpaka tumwondoe adui yetu aliyetufikisha nchi yetu hapa ilipo kama wenye ushahidi wa tuhuma wanashindwa kupeleka mahakamani hao ni kupuuzwa kabisa .
TANZANIA MPYA INAKUJA NDANI UTAWALA WA KIPENZI CHA WATANZANIA LOWASA.
 
Kumbe adui zenu ni majizi na mafisadi!!mbona viongozi wako hawathubutu kutamka hayo maneno hata kwenye ilani ya Chadema hakuna hayo maneno,wewe umeyatoa wapi?

Mafisadi na majizi walioifikisha hii nchi hapa ilipo wanajulikana haina haja kuwataja kwani hujui ni chama gani kipo madarakani?Endelea kujitoa ufahamu mwaka mjiandae kisakolojia kuwa wapinzani.
TANZANIA MPYA INAKUJA.
LOWASA NDO RAISI WETU MTARAJIWA.
 
Napata tabu sana kuelewa kwann jitu ambalo “limethibitika beyond doubt” kuwa ni jizi na fisadi halishughulikiwi kisheria na wananchi tunabaki kubishana mtandaoni.. Ama kuna kitu namiss hapa?

Limedhibitika mahakamani au midomoni mwa watu?
 
Eti nilikuwa mojawapo ya list of shame! Hata kama ingekuwa kweli, hiyo list ilikuwa na watu wangapi, mimi ndio niko upinzani nashambuliwa hao wengine wako wapi? Tusonge mbele, mabadiliko ni lazima
Edward Lowasa.

Hizo tuhuma hawezi kuzijibu kirahisi ,hivi tatizo sis washabiki wake tunaona ameshaa maliza ,
Yeye anashambuliwa ndiyo ni kwa kuwa anagombea nafasi nyeti mno kwenye nchi ambayo hapaswi kutiliwa shaka tatizo sis watanzania tunashindwa kutambua hilo na kuweka ushabiki mbele
 
Weng Mnaochangia Hapa Ni Wapuuz Hata Mgombea Wenu Mwenyewe, Slaa Kakomaa Na Lowassa Kwakuwa Anagombea Urais Uku Ana Kashfa Nyingi, Sasa List Of Shame Waliobak Wanagombea Urais?
 
Sisi tunasonga mbele mkuu mpaka tumwondoe adui yetu aliyetufikisha nchi yetu hapa ilipo kama wenye ushahidi wa tuhuma wanashindwa kupeleka mahakamani hao ni kupuuzwa kabisa .
TANZANIA MPYA INAKUJA NDANI UTAWALA WA KIPENZI CHA WATANZANIA LOWASA.

Emma najaribu kupita nyuzi zako naona kama wew ni NDIO wale nyumbu wasiokuwa na uelekewa na msimamo
 
Back
Top Bottom