nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,398
Hivi unataka makosa tuliyofanya kwa JK tuarudie tena? Are you out of your mind kiongozi? Au unadhani zama za JK na sasa ni sawa?
Leo tulikuwa tunajikumbusha jinsi mdahalo ulivyomgharimu boss wa TBC....bora Mfuruki kajiajiri maana sioni kama kungetokea mwenye jeuri ya kulianzisha baada yalomkuta ex boss wa TBC