Lowassa akimbia Mdahalo wa Wagombea Urais

Lowassa akimbia Mdahalo wa Wagombea Urais

Mzee EL hana haja na midahalo yenu, yeye nguvu yake ni wananchi ambao wameamua liwalo na liwe changuo lao ni EL Midahalo yenyewe inaendeshwa kwa Kiingereza, hivyo haitawasaidia wasemaje kwa vile wapiga kura walio wengi hawaelewi lugha hiyo
 
Huyu Mufuruki katumwa nini kwanini asingoje watia nia wote wafahamike.. Pengine mtu aliyapangwa na chama hajachukua fomu unless anamjua.. na kama anamjua atueleze kamjuaje...Vinginevyo ni kupoteza mda na resources zetu bure
 
Mzee EL hana haja na midahalo yenu, yeye nguvu yake ni wananchi ambao wameamua liwalo na liwe changuo lao ni EL Midahalo yenyewe inaendeshwa kwa Kiingereza, hivyo haitawasaidia wasemaje kwa vile wapiga kura walio wengi hawaelewi lugha hiyo

Lowassa kichwa cha panzi, midahalo itamvua nguo.

Kama hotuba ya kuandikiwa tu hawezi kuisoma vizuri sasa itakuwaje kwenye mdahalo wa papo kwa papo??

Nguvu ya Lowassa ipo kwenye PESA basi, zaidi ya hapo hana uwezo ata wa kushindana na Lusinde kwenye mdahalo.
 
Waishie huko huko kwenye roundtable debates.. Sie tunataka mdahalo wa wagombea wa uraisi toka vyama vyote vya siasa wa wazi utakaoongozwa na mwanahabari nguli.. Hii ya Mufuruki haina tofauti na REDET..
 
CCM ni chama cha wakulima na wafanyakazi, Makongoro anaenda kuwahakikishia nini wafanyabiashara?
Hilo swali muda wake wa kujibiwa bado...manake kampeni ya kitaifa bado...pia kwa na mantiki njema ya kujielimisha nenda kasome misingi mikuu ya uanachma wa CCM.
 
Association moja iitwayo CEORT imeandaa mdahalo wa wagombea Urais kupitia chama cha mapinduzi ambao utafanyika tar08/06 yani Jtatu,;hata hivyo mmoja kati ya waandaaji ambaye ni Mr. Ali Mufuruki, amesema Lowassa amekataa pamoja na kumweleza kwamba mdahalo utalenga masuala ya kiuchumi ya taifa na sio personal attack, Mzee kakataa.

My take; Lowassa anaonesha hana nguvu wala confidence ya kupambana na wapinzani wake. Hali hii ni CCM kwa CCM, akiwekwa na Dr. Slaa si atakimbia mji?

attachment.php


attachment.php

Itaonyeshwa kupitia tv zipi,ili tujipange.
 
Huo ni mfano mmoja tu ambapo inafika mahali fedha haiwezi kukusaidia.

Unaweza kukusanya watu na kuwalipa ili waonekane wengi kwenye mkutano.
Unaweza kuwalipa watu ili "wakuombe" kugombea
Unaweza kuwanunua baadhi ya wandishi wa habari ili wakupambe
Unaweza kuwahonga wajumbe wa mkutano ili watimize matakwa yako.

Lakini kwenye mdahalo wa akina Mafuruki wenye pesa zao, tena za halali, kuwanunua hakupo!
 
Huyo mtendaji unamtathmini vipi kama hajakupa evidence angalau verbally jinsi atavyotenda, au wewe mi sheikh yahya ushakuwa?

Wewe vipi umekula kunde za wapi? Lowassa hahitaji kusema yanaonekana
 
Halafu anajinasibu kuwa ana maamuzi magumu! kumbe Edward ni Paper tiger! kwa nini asishiriki ili Atoe majibu magumu kwa maswali magumu?!
 
NI MDAHALO GANI ULIMSIKIA MWENYEKITI YOYOTE WA CCM ALIENDA, KAMA HUNA DATA KAAA KIMYA.:A S-rap:
 
Watabzania wenzangu tusije uziwa mbuzi kwenye gunia kwenye awamu hii ya tano kama yalio tokea awamu ya nne kukataa mdahalo. Wagombea tuwapime kwa hoja zao kwenye midahalo.
 
Kwahiyo uko tayari turudie makosa?
Interesting!!!

Tusipoteze muda na hawa walioamua kujilipua kwa njaa zao saa ya Ukombozi ni sasa asemaye kesho ni wakuogopwa kama ukoma si unajua penye malaika , shetani hakosi kuzengea kutafuta wa kuchomwa nae?.
 
Wana haki kama mazingira yenyewe unaona yamekaa kimkakati nae ana haki ya msingi...iweje wao wako kwenye level ya kichama mdalo huusishe pia watu toka opposition..its sound wrong!!!wasubilie basi apatikane wa level ya Taifa.

Vinginevyo wawe ni wao wa CCM na uendeshwe na Wanaccm wenzao wenye kusudio la kichama kwao..kwa kuwa mpaka sasa bado wako mikononi mwa chama chao.
 
Mbona wapinzani hasa ukawa wametengwa?
 
Mbona watangaza nia wapo wengi tu ,naona list ya Mfuruki ni wachache,Mzee Majuto na Jangala hawapo?Ni vigezo gani vimetumika kuchagua washiriki..?
 
Back
Top Bottom