Lowassa akimbia Mdahalo wa Wagombea Urais

Lowassa akimbia Mdahalo wa Wagombea Urais

You're such a dumb dude I never heard before! Mdahalo ni njia mojawapo ya kufikia wapiga kura wengi bure bila kulipia muda ktk television, kwa kunadi sera na kujitofautisha na wagombea wengine. Wewe kwa akili yako finyu unaona sio level yake? What level is Lowasa? Make watanzania hatuchaguI KINGS bali Raisi. We need someone like us not above us! Nakushauri kufikiria kwanza kabla ya kuweka utumbo hapa!
Well said kiongozi, Tanzania bado ina wajinga wengi...na huyu analidhihirisha hilo..!
 
Sasa kama mdahalo hauwezi, ataweza kuiongoza nchi? Terrible!

huu ni mtihani wa kwanza.
amekwepa bila kujijua kuwa hiki ni kipimo cha kujua kama ni mtu anaeweza kujitoa na kushiriki bila longolongo. niligundua kuwa EL hana uwezo wa kusimama na kuongea akaeleweka maana siku alipotangaza nia mengi aliyosema alikuwa anakariri kutoka kwenye maandishi yake aliyoandikiwa na wapambe.
na pia siku aliyoita waandishi wa habari.. KIBANDA alijaribu kumgusia swali flani hivii matokeo yake alisita kujibu na akasema atajibu siku ya kutangaza nia ambapo tulimsikiliza hakuna jibu hata moja aliloweza kusema kuhusiana na maswali aliyoulizwa na waandishi aliowaalika.#
BINAFSI... EL NI SHEEDDAH TENA SHEEDA KUBWA.

CC: TETTY
 
Nakubaliana na wewe kuwa raisi kutoka CCM anaenda kutimiza sera na ilani ya chama kwa miaka hiyo mitano....!
Sasa kazi ya hiyo midahalo ni kumpa mwananchi upeo wa kufahamu nani kati ya hao wagombea/watangaza nia ana uwezo wa kuzisimamia hizo sera na ilani za chama chake? Kuna uwezo binafsi wa mgombea, jinsi gani atazitekeleza hizo sera/ilani, vipi ataisimamia serikali....hayo ni mambo ya msingi mwananchi anatakiwa kuyajua....

Sasa tunarudi pale pale mkuu its personalities na siyo kama anavyosema Ali Mafuruki kwamba debate itakuwa centred in economical issues wakati hayo mambo ya uchumi yanapatikana kwenye sera na ilani za CCM ambayo haijapikwa.

Au Ali Mafuruki anajua sera na ilani za CCM za mwaka 2015/20 zinazungumzia nini kuhusu uchumi?

Ni maoni huru
 
Sasa kama anakimbia mdahalo...Watanzania watampimaje? Nahisi hii ilikuwa ni nafasi nzuri kwake kuonyesha na kupima uelewa wake katika nyanza za kiuchumi n.k
 
jamani watanzania wenzangu muwe na huruma mnataka mamvi azimie jukwaani mdahalo kuna kuulizwa aukane tuhuma ya richmond .hajazia mtu hapo
 
jamani watanzania wenzangu muwe na huruma mnataka mamvi azimie jukwaani mdahalo kuna kuulizwa aukane tuhuma ya richmond .hajazimia mtu hapo .
 
Lowassa ana uwezo mdogo sana wa kujieleza "money talk". Anajua hana uwezo wa kumshawishi mtu yeyote ndio maana anakimbia ame foreseen aibu na fedheha.
 
Lowasa mjanja sana amuwezi kumpata kihivyo labda mfanye hivi mkishapata wangapi wamechukuwa fomu kwamba atochukuwa mwingine zidi yahao basi hapo ndio muwazinshe huo ujinga

Escrow Kings.JPG
 
Lowassa ni rais wa kwenye magazeti na vijiweni
 
Sasa tunarudi pale pale mkuu its personalities na siyo kama anavyosema Ali Mafuruki kwamba debate itakuwa centred in economical issues wakati hayo mambo ya uchumi yanapatikana kwenye sera na ilani za CCM ambayo haijapikwa.

Au Ali Mafuruki anajua sera na ilani za CCM za mwaka 2015/20 zinazungumzia nini kuhusu uchumi?

Ni maoni huru
Come on @ewgms!
Economic issues za taifa letu zinaeleweka, sio lazima waje na bango la chama kuzielezea. Lakini pamoja na hilo, jinsi gani Lowassa (mfano) ataweza kusimamia sera za chama chake? Kama mtu anashindwa kusimama na kueleza vipaumbele vyake, atawezaje kuliongoza taifa?
 
Sasa tunarudi pale pale mkuu its personalities na siyo kama anavyosema Ali Mafuruki kwamba debate itakuwa centred in economical issues wakati hayo mambo ya uchumi yanapatikana kwenye sera na ilani za CCM ambayo haijapikwa.

Au Ali Mafuruki anajua sera na ilani za CCM za mwaka 2015/20 zinazungumzia nini kuhusu uchumi?

Ni maoni huru

Sijaelewa kama wahusika wa Mdahalo wana fahamu kwamba baada ya watafuta ugombea kuchukua fomu watazunguka Unguja,Pemba na Tanganyika wakitafuta wadhamini. Sasa muda wa Mdahalo utapatikana vipi jumatatu?
 
Anapoteza fursa ya kupata wafuasi...

Ntaifutilia mwenye kunivutia ntamuweka kwenye maono yangu kuelekea uchaguzi mkuu
 
kukimbia kupigana vita unavyotegemea kushindwa ni ishara ya busara kutoruhusu kutibu makovu. lakini aibu ya kukimbia haito mwacha hivi hivi
 
Mdahalo.unaendeshwaa na huyu huui.mufuruki.aliangamiza.atcl ama??

Aje.ajibu kwanza kosa lililomwondoa atcl

yeye na bodi yake.walitengeneza.mchongo..mchongo wenyese

atcl ikishirikiana na saa walileta.makadha ya ndege mawili ..yakafanya kazi wee then kutokana na ubovu yakarudishwa s.africa

baadae.bodi ikasema inaleta ndege.mbili nzuri toka ireland...kwenye.ule.mkataba walipoangalia feg no za ndege moja wapo ni ile ndege iliorudishwa s.africa ...akuamini zaidi ya kupanish wanaotoa copy na wengineo...so anadiscuss uchumi.upi
 
Sijaelewa kama wahusika wa Mdahalo wana fahamu kwamba baada ya watafuta ugombea kuchukua fomu watazunguka Unguja,Pemba na Tanganyika wakitafuta wadhamini. Sasa muda wa Mdahalo utapatikana vipi jumatatu?

kusimama mbele ya hadhara kujibu maswali magumu ni kazi ngumu kuliko kutoa maamuzi magumu, maana yale unatoa tu bila kuchekecha akili.
kusaka wadhamini anatakiwa kila aliyechukua fomu ndani ya ccm au atakayepitishwa na chama?
 
Sasa tunarudi pale pale mkuu its personalities na siyo kama anavyosema Ali Mafuruki kwamba debate itakuwa centred in economical issues wakati hayo mambo ya uchumi yanapatikana kwenye sera na ilani za CCM ambayo haijapikwa.

Au Ali Mafuruki anajua sera na ilani za CCM za mwaka 2015/20 zinazungumzia nini kuhusu uchumi?

Ni maoni huru


Kwa Lowasa kukataa kushiriki mdahalo kujadili mambo ya kiuchumi nayo ni MAAMUZI MAGUMU
 

Nianze kwa kusema kwanza mimi si mfuasi wala mwanachama wa chama chochote ila nafatilia siasa kwa kukaribu sana.

Nimeona tweet ya M/kiti wa CEOrt Ali A. Mafuruki kuhusu debate ya waliotia nia ya kuwania Uraisi kupitia CCM. Ila kwenye nyongeza amesema anasikitika kwa Mh. Lowassa kutakaa kuhudhuria.

Kuna muda upesi wa mambo yanayosukumwa na hisia yanapelekea kushindwa hata kushirikisha ubongo kwenye kufikiri.

Anasema debate itakuwa centered kwenye Economical issues na siyo personalities, sasa hapo ndiyo maswali yanakuja.

Mgombea uraisi kupitia CCM anachaguliwa kutetea sera na ilani ya chama kwa uchaguzi wa 2015/20. Sera na Ilani za chama zinazungumzia uchumi, elimu, siasa, jamii n.k. na bado hazijapitishwa na wala hazijulikani.

Sasa kuwaita hawa watia nia kujadili uchumi wakati CCM haijapitisha sera na ilani za uchaguzi ujao, Bwana Mafuruki huoni huo ni wendawazimu?
+ Au bwana Mafuruki unajua sera na ilani ya CCM inazungumzia nini kuhusu uchumi?

Hii debate ni mapema mno tulizeni boli na kwa taasisi kama yenu ilitakiwa kuwa impartial subiri vyama vyote vitoe sera na ilani za vyama vyao halafu ndiyo mfanye hii debate yenu la sivyo hizi debate hazina maana zozote kwa taifa zaidi ya porojo tu.

Ninavyo jua mimi hakuna mgombea uraisi wa CCM anaweza weka sera zake binafsi kwenye sera na ilani ya chama kwa sababu wao ni watetezi tu wa sera na ilani hizo za CCM.

Kwa wanaojua zaidi nikosoeni kama nimekosea

Ni maoni huru

 
Back
Top Bottom