figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 27,638
- 62,539
Kwanini akimbie wakati hapa ndio sehemu ya kupatia maujiko? Ni balaa!!
Sasa kama mdahalo hauwezi, ataweza kuiongoza nchi? Terrible!
Huo mjadala hauna maana ndo maana ameamua asiende
Kikwete aliwai kushiriki mdahalo Upi ???
Kwa ninkg msifanye mdahalo wa watangaza nia wote ili watanzania tupate nafasi ya kuchagua,nyie mna select,lengo lenu mumpate ma mvi ,lakini mnawadhalilisha wagombea wengine
Da watu wengine wachokozi kweli kweli yani wanajua kabisa ..kuna wengine sie tuna allergy na podium kisha mna tuletea hapa..tupa kule ila bila kusahau Mtia nia ninae mkubali sana Bwana Charles Makongoro Nyerere alipofikishiwa Mwaliko huo bila kusita na hakika ALITAMKA NAAM NITASHIRIKI...
Yule hawezi maana anajua kabisa kuwa hawezi....ila utaratibu huu sijaukubali.....wangeitwa wote kwa pamoja kisha na sio kuwaita kwa mafungu....
Hapa una hoja ya msingi mkuu King Kong III. Tatizo ni kuwa hakuna aliyejitokeza hadi sasa kuandaa mdahalo, we fikiria tangia ratiba za uchaguzi zitangazwe si umoja wa wanahabari, taasisi za elimu wala nani wametoa ratiba ya midahalo. Kwa hiyo huyu kajitokeza basi na wengine amkeni lakini tuepuke midahalo dizaini ya REDETAli Mafuruki ujanja ujanja na lobbying na watu wa TPS ndio uliomtoa hana weledi wa kuandaa midahalo anatafuta nafasi tu la kuja ku-lobby serikali ijayo,kifupi ni mchumia tumbo (Opportunist).
Lowassa hawezi kushiriki kwenye mdahalo wowote. Hana hoja.