Lowassa akimbia Mdahalo wa Wagombea Urais

Lowassa akimbia Mdahalo wa Wagombea Urais

edward ana haki.kabsa labda nongemuuliza ali uchumi upi anaongelea..uchumi alioshiriki kuiua atcl na saa wao

uchumi upi uchumi wa.kutaka kuturudishia.ndege mbovu.zilizorudishwa s.africa wakazipeleka ireland.kabla ya watu kudaka same reg ya hizo ndege alizodai.zinatoka ireland ndio zile zolizorudi.anataka tumwekee mkataba hapa...na ndicho kilichoiiua atcl kama siyonay3 yeye tugende edward

Ungeweka sawa haya maandiko yako ili tukuelewe!!
 
Ali Mafuruki ujanja ujanja na lobbying na watu wa TPS ndio uliomtoa hana weledi wa kuandaa midahalo anatafuta nafasi tu la kuja ku-lobby serikali ijayo,kifupi ni mchumia tumbo (Opportunist).

Wewe utakuwa haujielewi sio bure.Alı Mufuruki hana weledi?Umewahi kushuhudia debate anazoshiriki kweli au unahisi?Labda hilo la uchumia tumbo lakinı la weledi hapana,namfahamu,jamaa nı msomi mzuri tena Engineer na Busınesman.Ndo mana kasema mada itakuwa uchumi tuu!
 
Thubutuu mnataka kumuaibisha tu.kama kwenye kadamnasi hawezi kwenye round table ataweza vipi?
 
Unawza kuwa mzuri kuongea lakini ukawa bogus kwenye kutekeleza majukumu
 
Huyu jamaa hana uwezo kichwani.watu tunawambia kila siku hamtaki kuamini.yani ukiondoa pesa zake jamaa ni kama shati tu.hamna kitu pale.
 
Huyu Mufuruki katumwa nini kwanini asingoje watia nia wote wafahamike.. Pengine mtu aliyapangwa na chama hajachukua fomu unless anamjua.. na kama anamjua atueleze kamjuaje...Vinginevyo ni kupoteza mda na resources zetu bure

Kıjana kuwa mpole,midahalo ya uchanguzi inakuwa ni mingi.Na kwa waliotangaza nia sio wote wamealikwa.Lengo ni kuwezesha uwepo wa muda wa kutosha kudadavua mambo.Then utaandaliwa mwingne kwa wengne.Hii ni muhimu ili tuwaone vilaza na waongo mapema na sıo kuja kuongopewa na CC.
 
Mbona wapinzani hasa ukawa wametengwa?

Midahalo ndo inaanza,wote watashiriki tu.Subira ni muhimu, hauwezi kuıtisha mdahala kwa mambo nyeti then ukawa na waongeaji 15.Wote watashiriki na baada ya kupitishwa watafanya tena.Mbona hii midahalo imekuwa inafanyika hata kabla?Hata zıle dk 45 za Buhohela ni mdaharo na wengi wameshiriki,SUMAYE,SITA,MEMBE,NYARANDU,MAKAMBA,LOWASA n.k.Tusıwe na kiwewe, yetu macho.
 
Hii ipo powaa sana, wacha wajichallenge wenyewe kwa wenyewe
 
Mara ya kwanza kabisa mdahalo ulitunusuru na mzee wa kilalacha, ukamtambulisha Mzee Nkapa. Usingelikuwa huo mdahalo tusingelimjua Nkapa!
Mara ya pili kama masihara vile tukaupuuza na matokeo yake tukauziwa sungura kwenye gunia tukidhania ni mbuzi, katika hili Mzee Makamba atakumbukwa sana kwa kuzuia hata midahalo ya wabunge!
Safari hii tumeshaelewa, mnadani kila kitu kiwekwe mezani na sio ndani ya gunia. Ikulu safari hii haiingiliki kijanja kijanja. Bye bye EL ...signs of victory are turning to signs of failure!
Mkuu,midahalo inaweza kukufanya umchague mtu au ni sera za chama chake na ilani ya uchaguzi ya chama chake pamoja na "background" ya utendaji?
 
kweli mbona wanuaisha hivyo mdahalo mzuri ni ule wakiisha chujwa na kubaki tatu au tano sio sasa utitili wa watu wengene wanaweka cv zao tu vizuri ili wasikose uwazili kama ataingia mwenzao
 
Sioni umuhimu wa kuandaa mdahalo wakati ndio kwanza watu wanaanza kuchukua form. Wangesubiri hadi idadi kamili imejulikana ndo wafane hiyo kitu wote wawekwe kwenye podium kwa pamoja. Tukifuata hiyo system aliyoisema Ali Mufuruki kuwa wiki ijayo waanze watano alafu wiki nyingine waongezeke kuna watakaopiga chabo.

Wat makes the difference?mufuruli kasema kitakua na session ya pili
 
Mkuu,midahalo inaweza kukufanya umchague mtu au ni sera za chama chake na ilani ya uchaguzi ya chama chake pamoja na "background" ya utendaji?

Mtu asiyeweza ku-communicate anachosimamia hawezi kuwa kiongozi mzuri.Sifa kubwa ya kiongozi wa siasa ni kuwa na akili ya kutosha(utasikia,utaona,utaelewa,utapanga vızuri,utaamua kwa usahihi), uwezo mzuri wa kuwasiliana na mengne.Kama hauna uwezo mzuri wa kupambanua mambo, hautaweza hata kuwakilisha nchi kwenye mikutano mikubwa ya kikanda na kimataifa.
 
Lowassa kichwa cha panzi, midahalo itamvua nguo.

Kama hotuba ya kuandikiwa tu hawezi kuisoma vizuri sasa itakuwaje kwenye mdahalo wa papo kwa papo??

Nguvu ya Lowassa ipo kwenye PESA basi, zaidi ya hapo hana uwezo ata wa kushindana na Lusinde kwenye mdahalo.
lusinde yule mtukanaji au lusinde yupi?

mtu yeyote anayejitambua hawezi kukaa meza moja na lusinde kwa majadiliano
 
Mkuu,midahalo inaweza kukufanya umchague mtu au ni sera za chama chake na ilani ya uchaguzi ya chama chake pamoja na "background" ya utendaji?
Katiba mpya ilikuwa kwenye irani ya ccm!?

 
Huu sio muda wa mdahalo baina ya wana CCM ni muda wa kutafuta wadhamini, ni muda wa kutafuta kura za kutosha za vikao muhimu vya chama. Lowassa ana tambua thamani ya muda na muktadha uliopo

Lowassa kichww maji.Ata hotuba yake aliyoandikiwa siku anatangaza nia ni ishara tosha.


Maswali ya papo kwa papo Lowassa hawezi, na ndio maana kaamua kuepuka aibu, wanasema heri nusu shari kuliko shari kamili maana angehudhuria kila mtu angemuona jinsi alivyo mtupu.
 
Huu Mdahalo utamjenge January Makamba!
 
Mdahalo huo hauna tija kwa sasa maana kipindi hiki wagombea wenye malengo wako bize kutafuta wadhamini na kupanga mikakati ya ushindi ndani ya Chama
 
Back
Top Bottom