Hawa watu ni wa ajabu sana. Mnajidanganya mchana kweupe?Aisee, kumbe Jangwani sasa ni Iringa. Hivi uongo mtaacha lini nyie UKAWA?
Washinde kwa uongo huo wa picha?Mungu saidia ukawa washinde
Na picha zenyewe zinaonekana ni kutoka viwanja tofauti. Mwaka huu tutalishwa propaganda na hivi vyama vya siasa mpaka tutajuta kuzaliwa.Ameongea Dk ngapi?
Hapo ni jangwani. Angalia kwa nyuma kabisa utaona. Mafinga iwe na watu wote hao wametoka wapi? Hata kama ni wale anaotembea nao hawafiki hivyoIringa haiwezi kuwa na idadi yote ya hao watu
Sourced from Mwananchi onlineMbona picha ni ya Jana Jagwani ???
Mleta mada amecopy kutoka kwenye blog ya mpekuzi, hivyo han kosa lolote.