Lowassa Afunika Iringa

Lowassa Afunika Iringa

wasalaam;
binafsi ninawasiwasi na afya ya mgombea urais kupitia chadema ndugu lowasa. Ila toka ahamie chadema yakhe hajawahi simama jukwaani zaidi ya dakika kumi.
naomba mliopo iringa mtujuze leo kaweka rekodi ya dakika ngapi?

Acha kufuatilia afya za watu bwana wewe ya kwako unaijua vizuri...Kama wewe upo salama na afya yako Mshukuru M/Mungu maana kesho yake huijui..hata hivyo Lowasa ni chaguo letu mabadiliko kupitia yeye.
 
wasalaam;
binafsi ninawasiwasi na afya ya mgombea urais kupitia chadema ndugu lowasa. Ila toka ahamie chadema yakhe hajawahi simama jukwaani zaidi ya dakika kumi.
naomba mliopo iringa mtujuze leo kaweka rekodi ya dakika ngapi?

Mkuu.uliza kaongea nini usiulize kasimama muda gani,hagombei uMC Mkuu
 
Hahah hata hajasimama ila kura tutampatia tu.. kuna lingine..
 
Nawapa ushauri wa BURE CCM ... Jitahidini kuchakachua via BVR... Kwenye sanduku la kura mtadondokea pua ...
 
Wanajamii wenzangu tuamke tusukumwe na hoja za wagombea sio idadi ya watu kumbukeni kwenye majukwa ya kampeni wanao kuwa hapo ni watu kutoka itikadi tofauti tofauti kwa ajili ya kusikiliza hoja za wagombea.maamuzi sahihi ni tarehe 25/10/2015.tuamke
 
Picha za itv zinaonesha watu wengi zaidi waliopo ktk hiyo picha. Mtaamini 25/Oct.
 
Nimeona ITV Lowassa akiwa Iringa, nazidi kuwa na uhakika kuwa huyu ndiye Rais wetu ajaye!

Anaongea kwa Confidence ya ajabu! Huyu ndiye anayetufaa! Huwa ni mtu wa maamuzi magumu!

VIVA LOWASA, VIVA UKAWA, VIVA TANZANIA!!

October 25 tunaichukua tena Nchi yetu kutoka mikononi mwa wakoloni weusi CCM, hakuna namna tena!
 
wasalaam;
binafsi ninawasiwasi na afya ya mgombea urais kupitia chadema ndugu lowasa. Ila toka ahamie chadema yakhe hajawahi simama jukwaani zaidi ya dakika kumi.
naomba mliopo iringa mtujuze leo kaweka rekodi ya dakika ngapi?

Wewe ulitaka asimame siku ngapi jukwaani? Kwa kufanya hivyo shida zako zitakwisha?
 
wasalaam;
binafsi ninawasiwasi na afya ya mgombea urais kupitia chadema ndugu lowasa. Ila toka ahamie chadema yakhe hajawahi simama jukwaani zaidi ya dakika kumi.
naomba mliopo iringa mtujuze leo kaweka rekodi ya dakika ngapi?

Amesimama kwa dakika sifuri ila ameongea mambo mazuri...... Unataka asimame dk ngapi??? Huo WASIWASI wako kuhusu afya ya lowasa unatokana na nini??? Kwani wewe una afya nzuri???
 
wasalaam;
binafsi ninawasiwasi na afya ya mgombea urais kupitia chadema ndugu lowasa. Ila toka ahamie chadema yakhe hajawahi simama jukwaani zaidi ya dakika kumi.
naomba mliopo iringa mtujuze leo kaweka rekodi ya dakika ngapi?
Unataka awe na afya nzuri ili aje akufanyeje hapo?
 
Lowassa, tafadhali baba, ccm wanapata homa kali. Itabidi peoplezzz tupungue kuhudhuria mikutano maana wazee wa kijani wanaumwa kabisa
 
Updates zinatakiwa kuwa ontime na zisiishie kutuma picha tu..kilichozungumzwa ni mhimu zaidi
 
Nimeamini Dr. Slaa alikua kipenzi cha wana Iringa, Slaa alikua anajaza watu zaidi ya hapo, navyoifahamu Iringa hao watu ni wachache sana tuache ubishi. Slaa alikua akitua pale mwembetogwa palikua hapatoshi
 
Back
Top Bottom