Lowassa Afunika Iringa

Lowassa Afunika Iringa

kwani umesikia ikulu anaenda kulinda au kubeba chuma..,!!!??
awe anasimama kwa dkk moja au mbil ni yeye
 
Kashfa za nguoni na picha za wagombea zitatoka hapa tusije kimbiana humu -lowasa mtakatifu mbona
 
hata ---- mwenzio alisema hayo Leo anaumbuka
Wewe usitake kunifananisha. Hebu angalia picha hizo juu bila ushabiki wa kitoto. Acheni kutufanya wapiga kura mazoba. Sio wote ni waumini wa vyama vya siasa. Umenisikia?
 
Hata angesimama nusu dakika tutampa kura zetu ccm kwishney.
Magufuli kwani mzima?
 
wasalaam;
binafsi ninawasiwasi na afya ya mgombea urais kupitia chadema ndugu lowasa. Ila toka ahamie chadema yakhe hajawahi simama jukwaani zaidi ya dakika kumi.
naomba mliopo iringa mtujuze leo kaweka rekodi ya dakika ngapi?

Lowassa sahv ni kama ilani ya CCM vile. Endeleeni kumpa umaarufu kwa kupalilia jina lake mkijua mnadhoofisha kumbe mnazidi kulistawisha jina lake na kumfanya hata kiziwi asikie jina lake.
 
Magufuri anaahidi mambo mengi ambayo hata mtoto mdogo alie darasa la kwanza akisikia ataangua kicheko,siasa za ahadi hewa na kuhadaa wananchi zmepitwa na wakati,watanzania wa leo sio wa enzi zile za zidumu fikra za mwenyekiti....!!
 
"Dakika moja!" Alisalimia tu kisha akakaa! Ila tutampa kura zetu, na tutahakikisha kuwa ndiye Rais wetu ajaye!

Umefurahi?

Itoshe kusema umeikosha sana nafsi yangu kwani umemjibu kwa kukata kiu yake haswaa. daily kazi kuleta umbea tu kana kwamba ndio kipaumbele chao cha kwanza katika ilani yao. tuzidi kuwakumbusha kuwa UKAWA, CHADEMA na LOWASSA ndio madaraja ya kweli katika kuleta mabadiliko nchini.
 
Kurugenzi ya habari hamko makini kipindi hiki... mnazidiwa hata na updates za ACT wasaliti ... angalieni walivo toa updates vizuri kwenye mkutano wao wa leo... kwa hili makene tumahitaji crew itakayo kuwa inatupa updates on the spot na kwa uhakika kwenye kila mkutano wa raisi mtarajuwa.... nimecheki pia kwenye website ya chadema hamana chochote kuhusu kinacho endelea Iringa.... hii hapana makamanda....
.
Watu wamelalamikia sana kuhusu hii kurugenzi ya habari Labda pengine nao wako likizo maana huwezi jua.
 
Hata hivyo ujumbe umemfikia. hivi mlitaka mpaka amtaje kuwa ni ASAS.
 
Ata ccM ingekua ndo chama kimoja nngepiga kura ya kukata mkasi....!
 
Back
Top Bottom