Lowassa adaiwa kutaka kuuawa!

Lowassa adaiwa kutaka kuuawa!

Nenda Arusha mitaani utashuhudia Fredrick Lowassa anavyochukiwa kwamba ni chanzo cha migogoro ya CCM Arusha ndiye anatumwa kupanga safu ya uongozi kwa ajili ya kusafisha njia ya Urais wa baba yake akiwemo James Milya yule mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Arusha
 
Gazeti lililotoa habari hiyo ni Dira ya mtanzania.

Habari hizo si za kuupuuzia kwani lolote linaweza kutokea, na haya ni baadhi ya mambo muhimu ya kukumbuka au kuzingatia:

1. Mtoto wa Lowassa ni mtu muhimu sana katika harakati nzima za maisha binafsi & kisiasa ya Lowassa, Hicho alichokisema ndio kauli isiyo rasmi ya Lowasa. Hivyo kuna haja ya vyombo husika kumhoji au kufuatilia zaidi.

2. Ni ukweli usiofichika kuwa usalama wa taifa pia imehusika na matukio ya kutengeneza ya vifo vya viongozi mbalimbali hasa kama viongozi hao wanasiri ambazo wanaweza kuzitoa na kuhatarisha usalama wa taifa (mtu yoyote aliyewahi kufanyakazi na idara hii atakwambia hili)

3. Kwa Lowassa hili linaweza kutokea saa yoyote, kwani alichokiongea ndani ya CC ni kitu kikubwa sana,na kama atatakiwa kuutoa ushahidi kisheria,maana yake nchi lazima itayumba,kwani mkuu hatapona.

4. Viongozi ndani ya CCM hawaaminiani kabisa kila mtu anamtafuta mwenzie ammalize kabisa (Hili JK aliwahi kulisema pia ndani ya vikao vya chama)
 
Thamani ya Lowassa kwa sasa hailingani na kuuawawa si tu na Usalama wa Taifa bali pia hata na raia wa kawaida akiamua kutembea kwa miguu barabarani
 
Ni Usalama wa Taifa gani hao ambao wangesubiri mpaka Lowassa atoe hicho unachosema ni siri ndipo wapange kumuua Usalama wangekuwa wamemuua muda mrefu bila kusubiri vitisho vyake ndani ya CC. Lowassa ni mfa maji anatapatapa ili apate mahali pa kutokea. Waache kumuua Dr Slaa wamuue Lowassa huu ni uzushi tu.
Gazeti lililotoa habari hiyo ni Dira ya mtanzania.

Habari hizo si za kuupuuzia kwani lolote linaweza kutokea, na haya ni baadhi ya mambo muhimu ya kukumbuka au kuzingatia:

1. Mtoto wa Lowassa ni mtu muhimu sana katika harakati nzima za maisha binafsi & kisiasa ya Lowassa, Hicho alichokisema ndio kauli isiyo rasmi ya Lowasa. Hivyo kuna haja ya vyombo husika kumhoji au kufuatilia zaidi.

2. Ni ukweli usiofichika kuwa usalama wa taifa pia imehusika na matukio ya kutengeneza ya vifo vya viongozi mbalimbali hasa kama viongozi hao wanasiri ambazo wanaweza kuzitoa na kuhatarisha usalama wa taifa (mtu yoyote aliyewahi kufanyakazi na idara hii atakwambia hili)

3. Kwa Lowassa hili linaweza kutokea saa yoyote, kwani alichokiongea ndani ya CC ni kitu kikubwa sana,na kama atatakiwa kuutoa ushahidi kisheria,maana yake nchi lazima itayumba,kwani mkuu hatapona.

4. Viongozi ndani ya CCM hawaaminiani kabisa kila mtu anamtafuta mwenzie ammalize kabisa (Hili JK aliwahi kulisema pia ndani ya vikao vya chama)
 
Mkuu para ya Mwisho ina Maoni yako ambayo si sahihi, yanathibitisha kuwa hujui hata Mfumo wa Uchaguzi wa CCM acheni kubuni Tuhuma zisizo na Msingi mnaweza kuhatarisha Maisha ya Watu wasio na Hatia.

Tujuze basi huo mfumo wa ccm,mwenyekiti wake taifa anachaguliwaje?
 
Damu ya mwakyembe imeanza kuitafuna familia ya lowassa wameamua kukimbilia Usalama wa taifa
 
Threads nyingi hapa zipo za Lowasa..Lowasa... Ukizisoma hazina cha maana.

Ninachokiona ni strategies za watu wake maalum ambao wamewekwa kuhakikisha anakuwa kwenye ''Head lines'' muda wote.

Biashara matangazo...

Umesama kama jina lako: Ki Utu uzima!


 
mkuki kwa nguliwe..naona mtoto anang'aka mbona hakutangaza kuhusu mwakyembe.
 
Lowassa na mtoto wake ni maarufu kwa kununua waandishi wa habari DIRA wamenunuliwa kuijenga familia ya Rais wa mafisadi Lowassa
 
mtu km wewe kule kijijini kwetu tunamwita ZERO.kwa tafsiri nyingine ni sawa na mtu kujifunzia gari kariakoo af anaeka gia namba 3.kwa ujumla JF HATUPIMIKI
Ikiuma sema....
 
Lowassa analindwa na vyombo vya dola kwa nini karipoti magazetini na si kwenye vyombo vinavyomlinda? kuna namna hapa?
 
Lowassa analindwa na vyombo vya dola kwa nini karipoti magazetini na si kwenye vyombo vinavyomlinda? kuna namna hapa?
hajaripoti... Naugomvi y bar yamenaswa na magazeti pendwa
 
Nimeon hii habari kwenye gazeti la Dira sikumbuki tarehe ...
Kama hukumbuki tarehe tutathibitisha vipi kwamba umeitoa kwenye gazeti hilo? Taarifa za baa kilevi kwa sana mmmmh.

Kumbe mtoto wa waziri mkuu msataafu akilewa mfumo wa akili unakata
 
Back
Top Bottom