Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,903
- 1,983
Haya bana,yangu macho!
alot of kujichanganya apa mbona mnarukia yale (majamaa machakachuaji ya kura tunazopiga) mashushushu ya pale makumbusho kwa nyuma (uwt) why not... Umoja wa wanawake tanzania, umoja wa walimu tanzania au usalama wa taifa, ebu weka vizuri tutoe pwenti zetu
Mkuu mbona unauliza maswali ya kimitego nanma hii, unamtakia mema uncle Pasco kweli?...lol
Likelihood ya nini au mnafanya research mjue itakuwa vipi...mnatujazia maswali mengi zaidi ya majibu kwanza thread yenyewe haina source.thanks pasco, kwa weledi na upeo wako, we unadhani likelihood ya hilo kutokea yaweza kwenda percentage gani?
Hata mimi nimewastukia eti mtu anauliza percentage ya mwenzake kuuawa dah! hii kali ndio maana nikawauliza kama wanafanya research tuwasaidie wengine tuna ujuzi huo.Mkuu mbona unauliza maswali ya kimitego nanma hii, unamtakia mema uncle Pasco kweli?...lol
Likelihood ya nini au mnafanya research mjue itakuwa vipi...mnatujazia maswali mengi zaidi ya majibu kwanza thread yenyewe haina source.
Hata mimi nimewastukia eti mtu anauliza percentage ya mwenzake kuuawa dah! hii kali ndio maana nikawauliza kama wanafanya research tuwasaidie wengine tuna ujuzi huo.
Wewe tueleze una nia gani ya kuuliza wenzako percentage ya kifo?jamani eh, msiogope, si ndio tunajifunza mambo hapa JF???
KWA MARA YA KWANZA LEO NAONA MEMBERS WENZANGU HAMNA IMANI KABISA NA MIMI AISEE
mkuu lazima alindwe na serikali na kupata huduma zote kama apatavyo Sumaye, SAS, nkivi lowasa kwa hadhi yake km PM mstaafu/aliejiuzulu si analindwa na serikali?au nakoSea mana huwa nawaona viongozi km mkapa mwinyi na sumaye kama wanalindwa.mwny kujua atusaidie