Loveness Tarimo athibitisha kuwa ni mjamzito

Loveness Tarimo athibitisha kuwa ni mjamzito

Niliwaambia hata yule Luvanda wa Al Nassr anayedai wanaume wanamuogopa kumtongoza ni hajichanganyi tu na masela.
 
Na hiyo misuli ya paja ujifanye unaingia chumvini akikubana lazma udanje
 
Kuna haya mambo lazima uelewe Jinsi na Jinsia .

Wewe unapomkataa mtunisha misuli unakuwa umeangalia issue ya jinsia na sio Jinsi.

Ukiangalia inner qualities ambazo ndo zinapelekea yeye kupata mimba , Ku have , kuingia bleed , n.k unakuta anafaaa na sifa anazo.

Mfano ukiwa mtaaani kuna wanawake wengi wanajinsia za kike Ila hawana jinsi za kike.


Huyo Loveness , she gonna be a wife material, Good mother and etc


Ila hauwezi kuelewa ikiwa utatawalia na mtazamo wa ngono tu kichwani.
Mkuu umezungumza kitaalamu. Ila wadau humu wao wanazungumzia hisia namuonekana.
 
Nina wasiwasi na nyonga yake.
Male v/s female pelvis.
C. Section?
 
Wanaume kilichowashinda duniani ni kuji do wenyewe otherwise mikono,vichaa, wote wanapitia..
Sina maana huyu dada hafai kuwa na mtu ila inahitaji ujasiri wa huyo mchumba wake
Kwanini unasema hivyo mamii? Ina maana huyo dada hastahili kuwa mpenzi? Au Hana hisia jamani?
Mbona mi mtu wa kunyanyua vyuma sana TU na nna kifua kikubwa pia na jamaa yangu deile ananisapoti
 
Kwanini unasema hivyo mamii? Ina maana huyo dada hastahili kuwa mpenzi? Au Hana hisia jamani?
Mbona mi mtu wa kunyanyua vyuma sana TU na nna kifua kikubwa pia na jamaa yangu deile ananisapoti
Jamani mamii sijasema vibaya...😃😃😃hongera kumbe na ww una kifua kipana
..sema tuu hatujazoea hiyo hali
 
Hamna mwanamke hapo huyu alitafuta kutrendi na akayapata majinga yakaamini km anabisha aioneshe mubashara, kuwa mwanamke mchezo??
 
Back
Top Bottom