Inside job, sawa na wale wskufunzi wa Kokobichi na hawa wakufunzi wa Jimu wako hivyohivyo kwani hawawaachi salama wanafunzi wao.Mwanadada mbeba vitu vizito, Loveness Tarimo ametangaza kuwa yeye ni mjamzito kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Namtakia kila la heri, atuletee anko salama!!
View attachment 3425578View attachment 3425579View attachment 3425580
Mimi sio mchagga ila sipendagi generalisation. Just point someone as he is na sio kulisema kabila zima.Ila huu mchezo wa kudinywa kinyeo wachaga wapo juu sana, wameuchangamkia kuliko hata watu wa pwani.Tatizo ni nini huko migombani??
Safiiiii KABISA KABISA KABISAMwanadada mbeba vitu vizito, Loveness Tarimo ametangaza kuwa yeye ni mjamzito kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Namtakia kila la heri, atuletee anko salama!!
View attachment 3425578View attachment 3425579View attachment 3425580
Nadhani ni weightlifter /body bulder kama alivyo Loveness, wanafanana misuliMwanaume wake ana roho ngumu hatari
Kuna watu wana moyo!..
Huyu unamdinyaje sasa
Na akitooooooaaaMwanadada mbeba vitu vizito, Loveness Tarimo ametangaza kuwa yeye ni mjamzito kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Namtakia kila la heri, atuletee anko salama!!
View attachment 3425578View attachment 3425579View attachment 3425580
Bado kuna watu wanaamini huyu ni mwanamke? Nitakuwa wa mwisho kabisa kuamini.Kuna haya mambo lazima uelewe Jinsi na Jinsia .
Wewe unapomkataa mtunisha misuli unakuwa umeangalia issue ya jinsia na sio Jinsi.
Ukiangalia inner qualities ambazo ndo zinapelekea yeye kupata mimba , Ku have , kuingia bleed , n.k unakuta anafaaa na sifa anazo.
Mfano ukiwa mtaaani kuna wanawake wengi wanajinsia za kike Ila hawana jinsi za kike.
Huyo Loveness , she gonna be a wife material, Good mother and etc
Ila hauwezi kuelewa ikiwa utatawalia na mtazamo wa ngono tu kichwani.