Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,907
- 28,075
Kama kunammashoga kwann ashindikane huyoKuna wanaume wana roho ngumu
Kama kunammashoga kwann ashindikane huyoKuna wanaume wana roho ngumu
ajabu mwanamke kuwa na mimba ?Hii ni ajabu!
Wale wanao chukua mashoga utasemaje?Mwanaume wake ana roho ngumu hatari
huwa siamin kama hili dume lina sehemu za siri za kike, siamini.Mwanadada mbeba vitu vizito, Loveness Tarimo ametangaza kuwa yeye ni mjamzito kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Namtakia kila la heri, atuletee anko salama!!
View attachment 3425578View attachment 3425579View attachment 3425580
Huyu ni mwanaume. Nitakuwa wa mwisho duniani kuamini kwamba huyu ni mwanamke.Mwanadada mbeba vitu vizito, Loveness Tarimo ametangaza kuwa yeye ni mjamzito kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Namtakia kila la heri, atuletee anko salama!!
View attachment 3425578View attachment 3425579View attachment 3425580
Kuna watu wanawatafuta wa hivyo.Kuna wanaume wana roho ngumu
Sana tena sana mpaka wanamuonea wivu wajuba sura zimekunjamanaJamaa yake anafaidi sana
Sura ya babaKuna watu wanawatafuta wa hivyo.
Sio kigogO kweliMwanaume wake ana roho ngumu hatari
Hiyo Cha mtoto Kuna wale wanaume wanabaka watoto wao wa kuwazaa, au wanabaka watoto wa miaka 10 kushuka chiniMtazamo wa kingono ndo unakufanya usione huyo ni mwanamke.
Ukijua utofauti wa jinsia na jinsi , Sex and gender ila ndo hivyo .
Kama mwanaume anaweza kulala na Malaya wa kimboka , akalala na kichaa n.k atashindwa vipi Ku have sex na mtunisha misuli.
Ndembe ndembe unaivutia picha tuu inakuja alafu mavazi yanaficha vingi ujue.Kwa sisi tunaopenda ndembendembe hii ni ajabu kidogo
😂😂😂😂Nina hakika aliyempa mimba huyu mdada hata wema sepetu akilegeza imo