Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,006
- 72,304
😂😂😂😂naungana na polepole wahuni wasikiage tu ila usikumbane nao
😂😂😂😂naungana na polepole wahuni wasikiage tu ila usikumbane nao
🤣🤣🤣🤣🤣Sio ngumu tu. Ni makatili.
Najaribu ku imagine ndo yupo kifuani kwangu ananidekea😁. Ntazimia
🤣🤣🤣🤣🤣Nina hakika aliyempa mimba huyu mdada hata wema sepetu akilegeza imo
Ila kweliKama kunammashoga kwann ashindikane huyo
Yeah,.. I was had a friend who was interested with Tom boysKuna watu wanawatafuta wa hivyo.
Hao Tom Boys cha mtoto mtu akinyoa nywele na kuvaa Kata K tu anakuwa Tom Boy.Yeah,.. I was had a friend who was interested with Tom boys
Kitu gani special hapo hadi iwe habari? Kwani ulidhani hafanyi?Mwanadada mbeba vitu vizito, Loveness Tarimo ametangaza kuwa yeye ni mjamzito kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Namtakia kila la heri, atuletee anko salama!!
View attachment 3425578View attachment 3425579View attachment 3425580
Hahaha... Ila kweliHao Tom Boys cha mtoto mtu akinyoa nywele na kuvaa Kata K tu anakuwa Tom Boy.
Kuna wanaume wanatafuta wanawake wajenga misuli. Wao ndiyo furaha yao.
SanaMwanaume wake ana roho ngumu hatari
Mimi nilikuwa na "shemeji" yangu alikuwa anabeba vitu vizito.Hahaha... Ila kweli
Wabongo tupo nyuma sana. Mambo kama hayo jamii zetu tunafanya kushangaa sana.Mimi nilikuwa na "shemeji" yangu alikuwa anabeba vitu vizito.
Wanafanya mashindano yao kabisa.
Na wanaume wanajaa kibao kuja kuwaangalia na kuwashangilia.
Hiyo Marekani. Ila bongo hivi vitu vinaonekana vya ajabu.
Naam,Wabongo tupo nyuma sana. Mambo kama hayo jamii zetu tunafanya kushangaa sana.
Safiiiii... sanaNaam,
Na "shemeji" hiyo ndiyo passion yake mpaka kaamua kuacha kazi kaanzisha gym yake mwenyewe anaiendesha.