Love bite - black chocolate

Love bite - black chocolate

acha zako wewe,kwani kuweza kuweka hyo love bite ndo kiashirio cha kumaliza balehe? kuna watu kibao hawajui hyo love bite nini na wengine wameoa,btw hzi mambo sisi tunaiga tuu toka kwa tamaduni za magharibi so kama wewe unaona kuweka love bite ndo kupevuka au kukomaa na kukua bas nakuweka kwenye kundi la watumwa wa kifikra.
mbona una maneno mengi hivyo kampeni si zimeisha!
 
Bora umeeewesha walau na mie nimeanza kupata mwanga, ila kwa mtu mweusi kama Lupita au Mpoki na yenyewe itaonekana?
Weupe inaonekana zaidi lakini hata weusi inaonekana sio wamng'ao kwa vile ya red mchanganyiko na black.....meno tena sasa sianaweza kutoa nyama
 
Hivi love bite huwa ina raha? Kwa anayeng'ata au anaeng'atwa???
 
Weupe inaonekana zaidi lakini hata weusi inaonekana sio wamng'ao kwa vile ya red mchanganyiko na black.....meno tena sasa sianaweza kutoa nyama

Mmmhh mie japo wamesema ina utaalamu wake, nikikutana na mtu anataka kuweka chata ya mapenzi kwa mtu mweusi kama mie au Mpoki ntakimbia mbiooo kituo cha kwanza polisi haaaaa usalama kwanza mwenzangu looh.

Mie denda lanitosha akiweza kunyofoa ulimi na lips sawa ila chata la mapenzi mmmhh....
 
Hivi love bite huwa ina raha? Kwa anayeng'ata au anaeng'atwa???

Ngoja waje wenye utaalamu wakupe maelezo mie nnachojua kulambwa kuna raha yake kwa mlambwaji vivyo hivyo kwenye kunyonya raha anaipata mnyonywaji.
Shida ni unanyonywa wapi na je meno yanahusika? ...... hehehehehehee kunguru muoga mie wapi mbawa zangu ndukiiii
 
Mmmhh mie japo wamesema ina utaalamu wake, nikikutana na mtu anataka kuweka chata ya mapenzi kwa mtu mweusi kama mie au Mpoki ntakimbia mbiooo kituo cha kwanza polisi haaaaa usalama kwanza mwenzangu looh.

Mie denda lanitosha akiweza kunyofoa ulimi na lips sawa ila chata la mapenzi mmmhh....
Hahahaaa kasie bora ulimi daaah hapana huyo jamaa alisikia love bite ipo hivi kabla hajaelewa akaenda kuapply matokeo ndio hayo
 
On my birthday 10th June whole day is yours

Pipi ya kijiti hapana coz sipendi pipi ila chocolate naipokea na magoti ya kinyamwezi juu.
Wooow mamii mbona itakuwa sherehe au vipi?,maana hapa ndio kiwanda cha mautamuu,basi unitumie namba yako mamii na usisahau na email mamii,just unitumie kule faragha PM LODGE HOUSE,si unajua humu kuna watu wadaku kinoma/
 
Wooow mamii mbona itakuwa sherehe au vipi?,maana hapa ndio kiwanda cha mautamuu,basi unitumie namba yako mamii na usisahau na email mamii,just unitumie kule faragha PM LODGE HOUSE,si unajua humu kuna watu wadaku kinoma/

Hehehehehe Chikundeeee ...... ati mamiiii hehehehee sawa dadiiii
 
Hehehehehe Chikundeeee ...... ati mamiiii hehehehee sawa dadiiii
Na mimi najibu Chikunduuuu.......sawa mamishuuu au vipi/maana umenipa mshawasha halafu unataka kuniacha kwenye mataa sikubali hata.
 
Hhahahahaaa aliogopa nini? au alikuwa mali ya mtu mwingine mlikuwa mnaiba?

Ila shingo ni one of very sensitive areas.....
Aliogopa maswali yasio hitaji majibu kesho yake
 
Aliogopa maswali yasio hitaji majibu kesho yake

Hehehehee aiseeh

Hakuna wakati nachukia kama wakati natakiwa kujibu maswali ambayo hayana majibu au majibu yake sina au siwezi kuelezea ninachotakiwa kuelezea looh.
 
Duuuh kumbe hizi love bite ni hatari kwa mchepuko eeeh, maana ikionekana na watu huku wanajua mwenyemali hajakung'ata basi habari inajulikana kuwa umepita mchepuko heheheee. Ni sheeeedaaaarrr
nasikia wengi wanaziweka ili akuvurugie na mchepuuko wako,au mchepuko unakuweka love bite ili uvurugane na mke/mume wako au mpenzi,so zishavunja mahusiano kibao hzo love bite.
 
Back
Top Bottom