hahahahaahaaaaaa na utamu ukaishaa wooooteHahahahaha kasinde umenichekesha htr hyo atakuwa dungdunga au vampire hah!!nakumbuka cku moja bae wngu akaniambia natka nikukic shingon mi nikajua just a kiss,akaanza taratibu nikawa nackilizia utamu lol mara kaanza kukaza mdomo mara meno yapo juu ya shingo weee!!!alikula kofi mpka 5 finger zikatokea mana nilihic anataka kunikausha damu!!!!
sometimes it's important to Mark your territory, but not that way huhNi love note iliyoandikwa kwenye fleshNaonaga aibu kuwa na love bite

Yaani kwakweli jamaa naona alitaka kuweka tatoo na sio love bite khaaaa hehehehheeeeIndeed mapenzi na manjonjo yake hayana umri.
Lakini nimeshangazwa na huyo jamaa alivyoamua kumkula shingo huyo bidada.
Uzoefu wangu na nijuavyo mimi Love Bite normally inatokea spontaneously in the process ya kugegedana....mkiwa kwenye dimbwi la kupeana maraha mnajikuta mmeishia kuwekana maalama kama hizo love bites n.k n.k
Hahahahaha kasinde umenichekesha htr hyo atakuwa dungdunga au vampire hah!!nakumbuka cku moja bae wngu akaniambia natka nikukic shingon mi nikajua just a kiss,akaanza taratibu nikawa nackilizia utamu lol mara kaanza kukaza mdomo mara meno yapo juu ya shingo weee!!!alikula kofi mpka 5 finger zikatokea mana nilihic anataka kunikausha damu!!!!
Huyo mwanafunzi bado,dkk 25 unaweka lovebite au unanyonya damu?,hata vampires hawatumii mda kunyonya damu khaaaa
Lovebite uwe mweupe uwe mweusi inaonekana mbona as long as jamaa awe mtaalamu,ila kama ndo upate vampire unalo, lazma akutegue mshipa wa damu![]()
Pole sana best....ila huyo bae wako atakuwa mjukuu wa vampire huyo. Love bite kimsingi utakachosikia ni raha tuuuu baasi. Anahitaji orientation aisee. Mara nyingi mtu unakuja kushtuliwa na alama aidha wakati unajitazama kwenye kioo au mtu mwingine kukustua.
Huo mchezo hauhitaji hasira na kuanza kuumizana. Ha ha ha
Heey one of Kasie's favourite boy.... 😛
It has been long time mmmmmhhh ...... good to see you again. Hope msuli a
Always, bin popo.
LOL! hahahahahaha hujasahau tu hii MSULI? Msuli she is doing so well she is very special in so many ways.
Huko sasa kutiana wivu hukoo.............
Siwezi kusahau n that proves that you were always in my mind while you were away.......
I just don't want to say how big I missed you 🙂🙂🙂
Kasie.
Asante mkuu kibaya ni kuwa hatukuwA deep kwny mahabati so it means akili yngu ilikuwa normal mi nakAjua kiss ya kawaida heh kumbe kachange gear angani!!!hahahHaha mpka leo naogopa sana hyo kitu!!!