Bahimba
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 510
- 346
Habari wa jf nipo mjini Mtwara hapa,ktk kile kinacho dhihirisha kua wana Mtwara bado hawajakubaliana na hoja ya watawala kua gas iende Dar lori lililokua limebeba shehena ya mabomba ya gasi limeshambuliwa kwa mawe mara tu lilipoanza kuingia manispaa ya mikinda Mtwara mjini na dereva kujeruhiwa vibaya.
Mpaka sasa lori hilo lipo kituo kikubwa cha polisi hapa Mtwara.
Ni wiki moja tu imepita watu kazaa walikamatwa na polisi hapa Mtwara kwa kile kinachodaiwa kusambaza waraka wa kuhujumu miundombinuu yote ya gas mara tu serikali itakapo anza utekelezaji wake wa ujenzi wa bomba hilo kupeleka Dar.
Mpaka sasa lori hilo lipo kituo kikubwa cha polisi hapa Mtwara.
Ni wiki moja tu imepita watu kazaa walikamatwa na polisi hapa Mtwara kwa kile kinachodaiwa kusambaza waraka wa kuhujumu miundombinuu yote ya gas mara tu serikali itakapo anza utekelezaji wake wa ujenzi wa bomba hilo kupeleka Dar.