Loose ends Kifo cha Martha Towo

Loose ends Kifo cha Martha Towo

Yani nimeamini kweli wasukuma wanadata na wanawake weupe
Nlikuwa huku usukumani siku 2 hizi hadi aibu. Yani they can't hide their obsession to fair skin tone women. Kuanzia wababu wababa hadi vijana.
Kama mtu ni mafia anakula hela zao sana na kuwaacha mataa
Wasukuma wasukuma wasukuma nimewaita mara tatu acheni huu ulimbukeni wa rangi jaman.
 
Yani nimeamini kweli wasukuma wanadata na wanawake weupe
Nlikuwa huku usukumani siku 2 hizi hadi aibu. Yani they can't hide their obsession to fair skin tone women. Kuanzia wababu wababa hadi vijana.
Kama mtu ni mafia anakula hela zao sana na kuwaacha mataa
Wasukuma wasukuma wasukuma nimewaita mara tatu acheni huu ulimbukeni wa rangi jaman.
Shimba ya Buyenze
 
Hakwenda kwenye familia ya kifalme inayotawala Saudi Arabia kukusanya michango, alikiuwa akizunguka MISIKITINI ndani ya Saudi Arabia na kwingine kukusanya michango ya kuendesha kundi lao lenye dhumni la kusimika ukharifa
Na suala Saudi Arabia na marekani kuwa ni kitu kimoja ni inshu mtambuka sana.
Sasa hivi yupo kuzimu sijui atakuwa keshatafuna bikra ya ngapi
 
Yani nimeamini kweli wasukuma wanadata na wanawake weupe
Nlikuwa huku usukumani siku 2 hizi hadi aibu. Yani they can't hide their obsession to fair skin tone women. Kuanzia wababu wababa hadi vijana.
Kama mtu ni mafia anakula hela zao sana na kuwaacha mataa
Wasukuma wasukuma wasukuma nimewaita mara tatu acheni huu ulimbukeni wa rangi jaman.
Hao weupe mbona wanao wengi tu
 

Attachments

  • IMG-20230317-WA0000.jpg
    IMG-20230317-WA0000.jpg
    82.5 KB · Views: 18
Mwanzoni walijua wameshammaliza baada ya kumdunga sindano ya sumu kumbe ni ya kichina, ule moto ulikuwa kanyaboya ama ateketee aishe abaki jivu asionekane milele
Hapa kuna clue ya ziada hasa kwenye sindano na hayo mafuta.. Inawezekana kabisa wauaji hawakutaka afe
1. Kwa kumdunga sidhano ya dozi ndogo
2. Kwa kummwagia mafuta kidogo kuwasha moto na kumwachia akimbie

Isingewezekana hata siku moja wauaji wako wakuchome moto halafu wakuache ukimbilie kwenye msaada.. Hawa hata wenyewe walihujumiana.. Muda utasema!

Well said Mshana hili nilifikiria pia target hawezi kuachwa kizembe hivyo

Mambo mengi it’s a matter of time
 
Mmh sasa hii kweli ndio inaweza pelekea mtu afanyiwe umafia wa namna hio? Sidhani there is more than that.

Something has to be so emotionally hurting for a sweet Revenge to occur. Unless uniambie walikuwa intimacy na huyo boss wake na ikatokea boss akajua kuwa soon anaenda kuolewa na mtu mwengine kama kawaida ya watoto wa kike na utapeli wao ndio boss aka plot hio mission ili akikataa amtimue kazini kama kumkomesha.


Hela inauma kuliko mapenzi Mkuu, kwa Bank ilivyokana haraka Kua sio mfanyakazi wao na wamechukizwa wanahabari wanavyosema alikua mfanyakazi wa hiyo bank moja kwa moja wanahusika
 
Hela inauma kuliko mapenzi Mkuu, kwa Bank ilivyokana haraka Kua sio mfanyakazi wao na wamechukizwa wanahabari wanavyosema alikua mfanyakazi wa hiyo bank moja kwa moja wanahusika
Yani wametumia Nguvu sana Kumkana marehemu kiukweli tatizo limeanziaa hapaaa... Hawakuonesha hata remorse ya kilichompata marehemu yani hawajalii kabisaa walichoangalia ni status ya kazi tuu. WAUAJII WAKUBWAA
 
Unaongea kujifurahisha tu mimi nina data za uhakika niko group moja la wasap na dada yake tuko msibani hapa tulikuwa KKKT kanisani Kibaha muda si mrefu,mzee Towo anakaribia miaka 70 au zaidi awe na first born miaka 30???acha bangi
Sasa mkuu kama mzee alichelewa kuoa unajuaje?
 
Unaongea kujifurahisha tu mimi nina data za uhakika niko group moja la wasap na dada yake tuko msibani hapa tulikuwa KKKT kanisani Kibaha muda si mrefu,mzee Towo anakaribia miaka 70 au zaidi awe na first born miaka 30???acha bangi
Sasa mkuu kama mzee alichelewa kuoa unajuaje?
 
Yani nimeamini kweli wasukuma wanadata na wanawake weupe
Nlikuwa huku usukumani siku 2 hizi hadi aibu. Yani they can't hide their obsession to fair skin tone women. Kuanzia wababu wababa hadi vijana.
Kama mtu ni mafia anakula hela zao sana na kuwaacha mataa
Wasukuma wasukuma wasukuma nimewaita mara tatu acheni huu ulimbukeni wa rangi jaman.
Hahaha..
Ndo naskia mweupe pee ananunuliwa Kwa ng'ombe 40+ kama mahari
 
Back
Top Bottom