Blood Hurricane
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 1,175
- 305
Mvuta bangi huyo. Ccm ndio aina ya wabunge inaowataka.
Darasa la saba, hapana ameishia la sita.,nilipata kukutana na mwalimu wake wa shule ya msingi Mbigiri alinidokeza.
Shule ipo Kijiji cha Mbigiri, kata ya Magole wilaya ya Kilosa..Kijiji kipo jirani na Dakawa High School.
Hakumaliza hata darasa la saba,ukitaka zaidi ni pm
Nyamaza wewe bwiga wewe,
Ulipotosha umma jana na elimu yako ndogo, wanaccm wenzako wamekugeuka kwa kuongea pumba zako.
Hapa naamini shule kwenye masuala ya siasa inahitajika, hivi jana ulipokuwa unaisemea serikali na maneno yako ya kanga na machafu ambayo hukuongea point hata moja, you show how stupid you are.
Kitendo cha kumdondosha mzee malecela kimemfanya lusinde ajionee km super star bungeni ila ajue mwakani uchaguzi tena hivyo wananchi wanawaona na kuwapima kikamilifu mana watu husema bora uteleze mguu kuliko ulimi madhara yake ktk box la kura
hivi amefika level gani ya elmu?
Kweli hata me alinishangaza kila mtu officeni alisema ana maeneno ya kina mama wa vibarazani hakuna mwanaume
rijali anaweza kuwa na maneno ya kichoko kama yale anatia kichefuchefu alistaili kuwa mfagizi wa bunge na wala sio mbunge.
Yani lusinde ni zaidi ya stupid, nashangaa hata hao wananchi wa ludewa kazi anayo
Kuna tetesi watu wanasema alikuwa MC washerehe dodoma na alikuwa akilewa analawitiwa.
Kuna tetesi watu wanasema alikuwa MC washerehe dodoma na alikuwa akilewa analawitiwa.
100% kweli tupu.Kuna tetesi watu wanasema alikuwa MC washerehe dodoma na alikuwa akilewa analawitiwa.
yule jamaa ashki x2 somebody chano na yule mama wa shule ya msingi mi ndiyo walinikera saana ,they are garbages,,,mi naona lusinde kwa elimu yake amajitahidi saana, tatizo lake ni yale mambo yake ya kukera wenziwe ila pia wengine walikuwa wanamchokoza kwa kuingilia speech yake.
Hivi elimu yake ni ya kiwango gani
Darasa la sita.
Hakumalizia la saba ..!
mpuuzi huyu analeta umtaani bungeni! mara mi sifanyi michezo hiyo mara mbunge gani kambania pua! kusema kuwa ana shule ndogo isiwe sababu ya kutokumsema huu ni ubaradhuli uliotukuka mahali pale sio pa kuleta mashairi ya mchiriku huo ujuha hauvumiliki.
Binafsi hata kange lugora alinikera kufanya maigizo yale.