Livingstone Lusinde aibu hii utaiweka wapi?

Livingstone Lusinde aibu hii utaiweka wapi?

Yaani jamaa anapewa dakika 30 anaongea kama mwanamke wa uswahilini mwananyamala. Alinichefua chefu hadi nikamtapikaaaaaaa

Kiongozi,mbona na wewe unataka kufanana nae?Waombe radhi wanawake wa mwananyamala/uswahilini kwa kuwafananisha na huyo ndugu.
 
Katiba pendekezwa inataka watu wa aina hiyo wawemo kwenye Bunge.
Any way ni Tanzania kila kitu ni mzaha japo kwa hili ni fedhea.
 
Back
Top Bottom