ludewa hatuna mpumbavu kama huyo sie huku jembe letu deo filikunjombe..----- lusinde ni jimbo la mtera huko..yani lusinde ni zaidi ya stupid, nashangaa hata hao wananchi wa ludewa kazi anayo
tatizo lake amekosa vya maana anaishia kusema ashiki ashiki tu wengi alitubore eti
Asante umekuwa muungwanaNaomba radhi jamani
Yani lusinde ni zaidi ya stupid, nashangaa hata hao wananchi wa ludewa kazi anayo
Kwa maneno yake yule jamaa napata wasiwasi anawezakuwa ni bwabwa
Jamaa hajielewi
Jamaa hajielewi
yule jamaa ashki x2 somebody chano na yule mama wa shule ya msingi mi ndiyo walinikera saana ,they are garbages,,,mi naona lusinde kwa elimu yake amajitahidi saana, tatizo lake ni yale mambo yake ya kukera wenziwe ila pia wengine walikuwa wanamchokoza kwa kuingilia speech yake.Kwa maneno yake yule jamaa napata wasiwasi anawezakuwa ni bwabwa
Mtera sio Ludewa...
Anakotokea Lusinde ndipo anapotokea Le Mutuzzzz sasa pata picha hao wananchi wa huko...
Yani kalinikera kweli kalikua kanaongea utadhani ni ka MC ka vigodoro lol shule ndogo kweli na bado kakata kuudanganya umma eti hakuna Haramu kwenye ndoa na kakatoa tafsiri ya uongo kwani tafsiri halisi ya halichokiongea kiarabu ni " Mwanaume atakua msimamizi au kiongoz wa mwanke" sasa sijui kalikua kanamdanya nani? kakaongea pumba na maneno ya shombo mara ntakupa MAKAVU we NASSARI nini maana ya makavu? mbona ata ss lugha za mateja tunazijua lakini BUNGENI hazifai mara huyo aliniomba ila huo mchezo mie sifanyagi BULL SHIT ndo tukuone wa maana au punguani? CCM ijaribu kuweka wabunge wenye akili na sio type hii