Livingstone Lusinde aibu hii utaiweka wapi?

Livingstone Lusinde aibu hii utaiweka wapi?

Unaambiwa Lusinde akiwa mdogo kazi yake kubwa ilikuwa ni kusuta wenzake....

Mtu akikuchokoza tu unamfata Livingstone aka Jiwe Linaloishi kwenda kukisanua...

Sifa yake kubwa ni kwamba anaweza kumsuta mtu hadi akazimia...[/QUOTEa]
Hili halina ubishi.
w
 
Ulipotosha umma jana na elimu yako ndogo, wanaccm wenzako wamekugeuka kwa kuongea pumba zako.

Hapa naamini shule kwenye masuala ya siasa inahitajika, hivi jana ulipokuwa unaisemea serikali na maneno yako ya kanga na machafu ambayo hukuongea point hata moja, you show how stupid you are.

Chakula yule watu wanamtafuta yule
 
Unaambiwa Lusinde akiwa mdogo kazi yake kubwa ilikuwa ni kusuta wenzake....

Mtu akikuchokoza tu unamfata Livingstone aka Jiwe Linaloishi kwenda kukisanua...

Sifa yake kubwa ni kwamba anaweza kumsuta mtu hadi akazimia...

Hahahaa inabidi tumvalishe kimini huyu
 
Jamaa hana akili..busara wala hekima..amejionyesha.jinsi alivyo dhaifu sana sanaa

yaani kazi itakayo mfaa ni kujiunga na wale wanawake wasutaji wa kukodi wanaotumia keki yeye ndio awe mzodoaji wao.
 
Unaambiwa Lusinde akiwa mdogo kazi yake kubwa ilikuwa ni kusuta wenzake....

Mtu akikuchokoza tu unamfata Livingstone aka Jiwe Linaloishi kwenda kukisanua...

Sifa yake kubwa ni kwamba anaweza kumsuta mtu hadi akazimia...[/QUOTEa]
Hili halina ubishi.
w

Ninaamini kabisaaaa kutokana na alivyokuwa anaongea bungeni utadhani mashindano ya ngonjera primary
 
Hili Lusinde ni baradhuli ambalo hata kama lingesoma elimu isingemsaidia chochote. Anakubali kutetea ujinga kwa Shillingi Milioni 3! Na nyinyi watu wa Mtera ni misukule kuwakilishwa na mburula kama huyo.

Nahisi watu wa mtera watakuwa wamelogwa hawa, cjui walitumia vigezo gani kumchagua huyu hewa
 
Darasa la saba, hapana ameishia la sita.,nilipata kukutana na mwalimu wake wa shule ya msingi Mbigiri alinidokeza.
Shule ipo Kijiji cha Mbigiri, kata ya Magole wilaya ya Kilosa..Kijiji kipo jirani na Dakawa High School.
Hakumaliza hata darasa la saba,ukitaka zaidi ni pm

Na lazima alikuwa anakuwa wa mwisho darasani
 
Lusinde ndiye amemaliza Zitto, na ndiye aliyesuka kwamba hatamjibu. Kichwa cha Lusinde kimejaa povu tu.
Ova
 
Yani kalinikera kweli kalikua kanaongea utadhani ni ka MC ka vigodoro lol shule ndogo kweli na bado kakata kuudanganya umma eti hakuna Haramu kwenye ndoa na kakatoa tafsiri ya uongo kwani tafsiri halisi ya halichokiongea kiarabu ni " Mwanaume atakua msimamizi au kiongoz wa mwanke" sasa sijui kalikua kanamdanya nani? kakaongea pumba na maneno ya shombo mara ntakupa MAKAVU we NASSARI nini maana ya makavu? mbona ata ss lugha za mateja tunazijua lakini BUNGENI hazifai mara huyo aliniomba ila huo mchezo mie sifanyagi BULL SHIT ndo tukuone wa maana au punguani? CCM ijaribu kuweka wabunge wenye akili na sio type hii

Hivi huyu mbunge wa jimbo gani? Alinikera sana, anaonekana kabla ya kuwa mbunge alikuwa kijiweni maana maneno yote ya vijiweni matupu. Eti ," UNANIBANIA PUA MWANAMME MWENZIO". huyu si mbunge ni mhuni tu.
 
Back
Top Bottom