Livingstone Lusinde aibu hii utaiweka wapi?

Livingstone Lusinde aibu hii utaiweka wapi?

Yani kalinikera kweli kalikua kanaongea utadhani ni ka MC ka vigodoro lol shule ndogo kweli na bado kakata kuudanganya umma eti hakuna Haramu kwenye ndoa na kakatoa tafsiri ya uongo kwani tafsiri halisi ya halichokiongea kiarabu ni " Mwanaume atakua msimamizi au kiongoz wa mwanke" sasa sijui kalikua kanamdanya nani? kakaongea pumba na maneno ya shombo mara ntakupa MAKAVU we NASSARI nini maana ya makavu? mbona ata ss lugha za mateja tunazijua lakini BUNGENI hazifai mara huyo aliniomba ila huo mchezo mie sifanyagi BULL SHIT ndo tukuone wa maana au punguani? CCM ijaribu kuweka wabunge wenye akili na sio type hii

samweli sita kwenye bunge la katiba,,aliwahi sema izo ndo mashine za ccm,,yaan lusinde
 
Hili Lusinde ni baradhuli ambalo hata kama lingesoma elimu isingemsaidia chochote. Anakubali kutetea ujinga kwa Shillingi Milioni 3! Na nyinyi watu wa Mtera ni misukule kuwakilishwa na mburula kama huyo.
 
Yani mie nilijiuliza huyu ni mbunge kweli?maana anaongea kama hahielewi au alikuwa amekunywa viroba?
 
darasa la saba kwa sababu bahati mbaya baba yake mzazi alifariki...

Darasa la saba, hapana ameishia la sita.,nilipata kukutana na mwalimu wake wa shule ya msingi Mbigiri alinidokeza.
Shule ipo Kijiji cha Mbigiri, kata ya Magole wilaya ya Kilosa..Kijiji kipo jirani na Dakawa High School.
Hakumaliza hata darasa la saba,ukitaka zaidi ni pm
 
Hahah mkuu sasa hili jipya...

Hiyo sentensi yangu nilinukuu alichokitamka bungeni wakati akitoa mipasho...

Darasa la saba, hapana ameishia la sita.,nilipata kukutana na mwalimu wake wa shule ya msingi Mbigiri alinidokeza.
Shule ipo Kijiji cha Mbigiri, kata ya Magole wilaya ya Kilosa..Kijiji kipo jirani na Dakawa High School.
Hakumaliza hata darasa la saba,ukitaka zaidi ni pm
 
Kweli hata me alinishangaza kila mtu officeni alisema ana maeneno ya kina mama wa vibarazani hakuna mwanaume

rijali anaweza kuwa na maneno ya kichoko kama yale anatia kichefuchefu alistaili kuwa mfagizi wa bunge na wala sio mbunge.
 
Unaambiwa Lusinde akiwa mdogo kazi yake kubwa ilikuwa ni kusuta wenzake....

Mtu akikuchokoza tu unamfata Livingstone aka Jiwe Linaloishi kwenda kukisanua...

Sifa yake kubwa ni kwamba anaweza kumsuta mtu hadi akazimia...
 
Hahah mkuu sasa hili jipya...

Hiyo sentensi yangu nilinukuu alichokitamka bungeni wakati akitoa mipasho...

Muongo mkubwa yule jamaa..aliishia la sita.
Alisoma darasa moja na jamaa mmoja kwa sasa ni diwani wa Mbigiri.
 
Yani kalinikera kweli kalikua kanaongea utadhani ni ka MC ka vigodoro lol shule ndogo kweli na bado kakata kuudanganya umma eti hakuna Haramu kwenye ndoa na kakatoa tafsiri ya uongo kwani tafsiri halisi ya halichokiongea kiarabu ni " Mwanaume atakua msimamizi au kiongoz wa mwanke" sasa sijui kalikua kanamdanya nani? kakaongea pumba na maneno ya shombo mara ntakupa MAKAVU we NASSARI nini maana ya makavu? mbona ata ss lugha za mateja tunazijua lakini BUNGENI hazifai mara huyo aliniomba ila huo mchezo mie sifanyagi BULL SHIT ndo tukuone wa maana au punguani? CCM ijaribu kuweka wabunge wenye akili na sio type hii

Alisema yy shule yake ndogo sababu alifiwa na baba yake akiwa bado mdogo, asimsingizie baba yake alie kaburini. Ameshindwa nn kujiendeleza akiwa mkubwa, aliongea ugoro sana yule mjinga, ni heri lile jimbo angekuwa bado analishikilia mzee Malecela kuliko huyu kima.
 
Back
Top Bottom