Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,585
- 235,438
The MoNABado watu hawaelewei kinachofanyika sasa
Slot aliikuta:
1. Timu iliyotoka kwenye peak ya Klopp
2. Baadhi ya Wachezaji walikuwa wamezoea mfumo mmoja kwa miaka 7+
3. Dressing room yenye emotional hangover ya Klopp
Watu wengi huwa unasahau transition ni ngumu zaidi kuliko kujenga from scratch.
500m spent = no rebuildingβ?
Hii ni misconception kubwa kwenye football analysis.
Spending inaweza kuwa:
1. Squad refresh (age profile, injuries, depth)
2. Tactical fit kwa mfumo mpya
3. Long-term investment, siyo instant first XI
Hiyo pesa haikumwaga kwenye finished product, bali kwenye restructuring ya mfumo.
Tulipaswa kuendeleza ubora, sio kujenga
In theory β yes.
In reality β impossible bila kipindi cha adjustment.
Kubadilisha:
- pressing triggers
- build-up structure
- midfield roles
- attacking patterns
Huwezi βendeleaβ bila temporary regression.
Mechi 6 ni improvement kubwa?
Hapana, siyo mafanikio ya msimu.
Lakini kitaalamu, hiyo ni trend indicator.
Coaches hawapimi progress kwa trophies tu, bali:
Na hapo ndipo improvement inaonekana.
- game control
- chance creation
- defensive structure
- consistency ya performance
Bottom line:
Hakuna anayesifia mediocrity.
Tunatambua direction ya timu.
Kuona improvement β kuridhika.
Ku-ignore improvement β kuwa realistic.
Mwisho wa msimu ndipo tutatoa verdict.
Kwa sasa, analysis inasema: response ipo, trajectory ipo.
Timu ni kubwa kuliko SalahToka Salah apigwe chini kikosi cha kwanza Liverpool imeshinda michezo yote
walikuwa wanamlaum kocha matak yenu
Na timu ni kubwa kuliko SlotTimu ni kubwa kuliko Salah
Performance inaonyesha control, lakini matokeo wakati mwingine yanaonekana harsh.
Ameshinda mechi zote? Hadi droo sikuhizi ni ushindi Kwa LiverpoolToka Salah apigwe chini kikosi cha kwanza Liverpool imeshinda michezo yote
walikuwa wanamlaum kocha matak yenu
Huu ni mpira tu. Death threats za niniHivi kumiliki Pistol na kuingia nayo pale Liverpool inahitaji masharti gani?
Nataka nikamalizane na Kichwa mviringo akapumzike Mbinguni.
MarescaRound ya 2 Epl inakuwaga ngumu sana SLOT sidhani kama atashinda mechi yoyote akijitahidi sana draw,mechi ijayo na arsenal pale emirate ndio itakuwa aibu maana 4 bila zitatuhusu .hana uwezo wa kushinda mechi Nyumbani na ugenini, Akiwa ugenini ndio hawezi kabisa na round ya 2 ndio hawezi kabisa.
round ya pili hapo hawezi toboa atafukuzwa tu.
# in SLOT we trust
#You will never walk alone SLOT
Na mimi naenda kumsusia li timu lake! Timu haiwezi ku-defend dakika za mwisho? Mpuuzi huyu jamaa hata hajui kufungua timu zinazopaki semi! Klopp angekuwa na hiki kikosi tungekuwa tunatabasamu tu!Nimeacha kuangalia mpira kwa ujinga wake
Yaani ananikera yule Baba jamaniπππ½
Mi nilisema mara mia kocha angekuwa hata Gerrard
Duh, yamekuwa hayo tena? Dogo anataka kuuzwa kama nyanya sokoni?
πππToka Salah apigwe chini kikosi cha kwanza Liverpool imeshinda michezo yote
walikuwa wanamlaum kocha matak yenu