Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

🤣🤣🤣
Kwa kweli, inaonekana kama FSG wameamua "kufungulia pochi" baada ya Klopp kuondoka kitu ambacho kinaleta maswali mengi kwa mashabiki. Wakati Klopp akiwa na mafanikio makubwa na timu, mara nyingi alihangaika na bajeti ndogo, akitoa matamshi kama "we can’t act like Chelsea" au "there’s no money tree." Lakini sasa, ghafla, inaonekana fixed deposit account ime mature na Wamempa Slot ATM card ya kuzitoa!
 
Tungebaki na Nenez na Ekitie tukasajili na Guehi basi pamoja na DM mmoja tu tukaanza msimu wetu
We hujui mpira nunez wa nini pale Sasa hivi miaka yote Kawa flop la kudumu epl we chezaji Gani Kila msimu alijirekebishl aje isak afanye kazi na ekitike huu sio mda wa kukaa na maflop
 
Advantage ya dogo ni versatility

He can move from no 9 to any of the four attacking positions
 
Advantage ya dogo ni versatility

He can move from no 9 to any of the four attacking positions
Kwa namna nilivyosoma huyu mwamba ni dizaini kama Bobby Firmino Fulani hivi kwamba ni mchezeshaji na mfungaji....Kule Frankfurt alicheza na Mamosh vyema tu na sasa atakua na King Salah Sina wasi wasi tutegemee Nini.

YNWA
 
Henry akaunti yake imedukuliwa SI bure aisee.
Dirisha hili wanamwaga sana ela lakini subiri soon utaona wanaanza mauzo .. ukumbuke pia washauza Trent kwa 10m, Quansah 35m na Kelleher 18m, Philips etc hivyo japo wametoa ela wameanza kurejesha kiasi zilipotoka.....
Bila usajili wa DM na beki mmoja tutapata shinda ndugu na kwakua dirisha bado lipo wazi ngoja tuone namna tunavyoingia vitani kutetea ubingwa wetu.
Kingine hatujanunua wachezaji wengi dirisha ja joto 2024 zaidi ya Chiesa hivyo pesa bado ipo.

Kwa sasa tupo hapo mkeka utabadilika.

YNWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…