Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 13,213
- 20,988
Hivi ilikuwaje mkashika nafasi ya kwanza?
Kwan kizangi mlichoonyesha hamkustahili kuendelea na mashindano
Kwan kizangi mlichoonyesha hamkustahili kuendelea na mashindano
Ndg ulikuwa unaangalia mpira , Liverpool kaonyesha nini zaidi ya kupaki bus vile vitoto vya Paris sio poa walikuwa na KAZI ya kurudi nyuma na kuzuia mechi zote mbili.Poleni sana wanangu ila mpira leo mmeuonesha.
Sina hakika kama huko mbeleni kutakuwa na mechi tamu kuizidi hii.
Sometimes bahati nazo zina play role yake.
Kabisa Mkuu.Chama limepambana nina imani England timu yeyote isingefika penalt ingekuwa kibudu tumebaki tupambanie makombe mawili bahati haikuwa upande wetu...tukutane tarhe 16 wembley fainal..
YNWA!
Halihitaji elimu ya chuo kikuu kulitambua hilo!Kabisa Mkuu.
Mi ni Nyumbu ila leo nimewapa saluti.
Psg akicheza hivi mechi zote Uefa yakePSG wamecheza vizuri hata nyinyi mmecheza vizuri sana ni basi tu hamkuwa na bahati
Hao sio wachezaji ni matapeliKama kuna wachezaji wa kufukuzwa mwisho mwa msimu hawa wawe wa kwanzaView attachment 3267322
Hakuna timu ENGLAND ingehimili moto wa PSG leo. Hakika mmepambanaChama limepambana nina imani England timu yeyote isingefika penalt ingekuwa kibudu tumebaki tupambanie makombe mawili bahati haikuwa upande wetu...tukutane tarhe 16 wembley fainal..
YNWA!
Na hata saizi namalizia kuangalia hizi shamla shamla za mwishoni baada ya mechiNdg ulikuwa unaangalia mpira , Liverpool kaonyesha nini zaidi ya kupaki bus vile vitoto vya Paris sio poa walikuwa na KAZI ya kurudi nyuma na kuzuia mechi zote mbili.
Nyie mlishika ya ngapi?Hivi ilikuwaje mkashika nafasi ya kwanza?
Kwan kizangi mlichoonyesha hamkustahili kuendelea na mashindano
Hakika mkuu!Hakuna timu ENGLAND ingehimili moto wa PSG leo. Hakika mmepambana
HakikaPsg akicheza hivi mechi zote Uefa yake