Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20250312_014334_Chrome.jpg

😂
 
Kwa huyu kipa wa Psg inabidi hizi dakika 15 zilizosalia Liverpool wafanye juu chini wapate goli, la sivyo hili kipa la mikono 100 linaweza likawachomolea betri kwenye penalties.
Nilijua tu hili lidude likisimama tu pale golini linatisha, halafu Nunez kwa kipindi hiki sio wa kumuachia kupiga penalty kabisa, ni kumtafutia lawama tu za bure na kumchonganisha na mashabiki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom