Kuna kukubali kutokukubaliana pia.Kama hajaelewa na hapa hatoelewa kamwe
Inanikumbusha tukio la wanamgambo wa Hamas Oct 7 walivyovamia kambi ya IDF mpakani mwa Gaza na kuanza kuwatembezea kichapo wanajeshi wa IDF.Kusema ukwel mechi ya juzi ilikuwa ni Allison becker vs psg. Whether we like it or not ππππ¨
Mdau mambo ya hamas na Liverpool wapi na wapi?Inanikumbusha tukio la wanamgambo wa Hamas Oct 7 walivyovamia kambi ya IDF mpakani mwa Gaza na kuanza kuwatembezea kichapo wanajeshi wa IDF.
Liverpool waliteseka sana hawakuamini walichokutana nacho japo walishinda,
It's a matter of when and not howWe are winning the league
Ooh my God we are winning the league
Cmon you all we are winning the league
We are slashing them.It's a matter of when and not how
Muache TAA kakaLove you Allison
Trent fvck off
Watu wanawaza treble humu unaambiwa ππ
yaani unasema umebakwa ila sio sana pole mzee ndio tushashinda sasa π€£π€£π€£π€£π€£Inanikumbusha tukio la wanamgambo wa Hamas Oct 7 walivyovamia kambi ya IDF mpakani mwa Gaza na kuanza kuwatembezea kichapo wanajeshi wa IDF.
Liverpool waliteseka sana hawakuamini walichokutana nacho japo walishinda,
Ya wajukuu na vitukuu vyakeπ€π€π€π€π€π€π€π€π€π€@Saint Anne salama
Bobby anakula good time π€π€π€anasaka ela ya wajukuu
YNWA
Kobbie Mainoo atakuwa free FSG wachangamkie dili.