MosDef
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 8,420
- 17,183
Itoshe kusema FSG wapo kibiashara ya kukuza brand yao na kuiongezea growth, hizi tetesi za Elon kuwa interested kununua Liverpool ni sweet sana kwa FSG maana hata bei wanaona klabu value imekua kutoka £300m mpaka sasa ipo £4b🔥🔥mostly hii inatokana na Klopp Effect imewapa sana stability on n off the field growth.
Sasa kama wamekua hivyo bila kuweka wage structure kubwa na bila kua serial buyers sokoni je unadhan leo hii ndio wataanza kugawa mikataba minono na ku deep big sokoni wakat status quo inawapa tremendous growth?
Mi nadhan itabidi tupige ramli 🤓🤓wenzetu wazidi kua vimbaya zaidi yetu 🙈🙈na upepo wa majeruhi utupite mbali sana aafu tuone mwisho wa msimu tutakua wapi la 20 lipo Anfied ama tumekua tena wasidikizaji.
Wakati Kipara anapambana kukamilisha dili 3 January hii Edwards yupo anatulisha matango pori..
Mbuemo naona rasmi big guns wanamtolea sana macho. This boy is typical Liverpool player kama alivyokua Mammosh na huyu nae atachukuliwa hivi hivi. Yetu macho tu. Sina hofu na forward line hata wasiponunua sasa waliopo wanatuvusha salama. Ishu kuu ipo ulinzi maana tunaruhusu sana magoli pale panahitaji quick solution.
YNWA
LFC supporters bado wana ile mentality ya kuwa FSG saved us, they didnt save us from shit, back then ilikuwa ni business opportunity kwao, at £300m, hakuna mfanyabiashara asingefikiria kuweka pesa yake, ndiyo maana interested parties zilikuwa nyingi sana, Sheikh Mansoor alivyotukosa kwasababu ya politics, akaamua kuwekeza Man City.
FSG, saw a perfect business opportunity na kuamua kui-grab, kutoka kununua club for £300m, mpaka now kuwa valued at £5b, ni opportunity ambayo hawawezi kujutia in their life-time, na tunaongelea kuhusu brand ya "Liverpool FC", one of the biggest brand/product in the world, so they knew faida watajayopata wakinunua LFC, na ndiyo maana they had to grap chance ya kununua a debt-riden club (kipindi kile) bila hata kusita, because walikuwa wanajua faida yake in the long-run.
So, kama FSG wasingenunua hii Club, other people wangenunua, so suala la kuwa they saved us, ni ujinga.
Msimu huu, tunawez tukashinda PL title, but next season utakuta tunagombania Top 4/5, na sababu ni kutokuwa na sustainable development na uwekezaji mdogo kwenye team, sometimes unajiuliza Man City wangekuwa kwenye top form yao ya kila msimu tungekuwa tunaongoza league? then unajiuliza why tunaona City kuwa ni kipimo cha mafanikio kwenye PL titles? why tunaona tunaongoza league kwasababu City ni mbovu? why tunaona kama ni bahati? then unaangalia kikosi chako, unaona Summer tumemsajili Chiesa tu, na tukaanza msimu a 31 year-old Japanesse DM ambaye alikuwa ni stop-gap tu, the coach had to put an 8 at 6, tukaanza msimu na 3 senior CBs ambao wawili ni injury prones, etc, hapo unaona kweli we punching above our weight, but ni sawa? club ambayo ipo valued at £5bn, bado inastruggle kutafuta a fabinho replacament? when was the last time tumenunua a defender?
Unakumbuka, tumeshinda CL, tukanunua kina Harvey, VDB and Adrian, tuliolalamika tukaonekana "washenzi" kwasababu Club wakati huo ilikuwa kwenye "stable" condition, na tulionekana washenzi zaidi, tulivyoshinda PL title msimu uliofatia, but matokeo ya kutowekeza vizuri baada ya our CL win, yalionekana 2 years later, na mpaka kupelekea tukacheze Europa league, hii yote ni kwasababu hatuzingatii sustainable development, tunaridhika na occassions, kama vile ni small club.
Now, tunafanya vizuri, so hakuna mtu atakuelewa ukiongelea kuhusu good additions kwenye squad, au suala la KUBAKIZA world class kwenye team (mtu anakwambia Bradley is better than Trent), but 1-2 years from now, Slot akiwa ana-struggle ku-shape team kwasababu ya uwekezaji/planning mbovu kwenye squad, ndiye atakayekuwa anatukanwa, na FSG hawatoguswa hata kidogo.