Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Days goes really fast brother.
I actually forgot akina Kabak walahi hatuna wamiliki hapa tuna vituko wachumia matumbo yao.
Twice hawa mabwana chini ya Klopp wameshindwa kuona hii ni fursa ya kuchukua ubingwa wanakomaa na wage control my foot...
Aje Musk japo nae bempari lakin hua hakumbali kushindwa kuliko hawa clueless dudes from America..
Kwa utajiri wa Musk Liverpool ingefika mbali sanaa.

YNWA
Kaka, LFC fans hawakushtuka kipindi kile, bado wanadhani tunawaponda FSG kwasababu ya chuki tu.

FSG wametukosesha vitu vingi sana as owners, sometimes tulikuwa tunajificha kwenye kichaka cha kuwa Klopp hataki kusajili, now hayupo, excuses zitakuwa zipi?
 
Konate & Szobo are covering for Trent, because of how Slot is using him.

Ishu ya Trent kukaba/defend his territory kama a traditional right-back, haipo tangu 2019.

We need to blame, Klopp kwa kum-mold into an attacking right-back?

its not like anaamua mwenyewe kuwa, now natakiwa niwe kwenye attacking pockets, ni instructions, na kila kocha anamtumia kulingana na anacho-offer.

Szobo was covering for Trent msimu uliopita, mpaka watu wakaanza kusema hakuna kitu Szobo ana-offer going forward, amekuja Slot, anawatumia Szobo & Trent the same, but amerahisisha mnyumbuliko wao.

Robertson is nearing 32 years mkuu, he's been playing for us kwenye demanding level for nearing 7-8 years, ilikuwa lazima ubora wake ufike mwisho, miguu imechoka, siyo kosa lake kuwa, Kocha ana-prefer kumchezesha yeye zaidi, siyo kosa lake kuwa FSG & Edwards hawakuona umuhimu wa kutafuta a new LB despite na dalili za kushuka kiwango kwa Robertson plus age tangu msimu uliopita.

Then, kati ya Trent, Robertson, VVD, Konate, Gomez, Tsimikas etc, Robertson has been our worst defender this season, na hii ni ukiangalia tu makosa yake yaliyo-lead to goals/chances.

Trent had a bad game against Utd, thats it, his 1v1/territory defending vime-improve a LOT under slot, (look at his stats), but the way he's get used ni lazima apewe cover, maana siyo kuwa tunacheza peke yetu uwanjani, kuna opponents, na siyo kila move itacome-off au kufanikiwa.
Nakubaliana na wewe kwenye hili, binafsi pia nilikuwa namlaumu sana TAA kwenyebishu ya ukabaji. Ila kuna mahojiano niliyaona ya Klopp wakati akiwa bado kocha wetu akilielezea hilo the same way ulivyolielezea.
Itishe kusema tu, sisi baadhi ya mashabiki tukimaliza kuangalia mpira ndio imeisha. Mahojiano ya wachezaji na makocha baada ya mechi ni kitu ambacho wengi wetu hatufatilii.
Alifanya makosa game na Man U sawa, lakini inatokea siku mbaya ofisini kwa yeyote. The same kwa Maguire kushindwa kumalizia msumari wa mwisho kutuweka msalabani.
Shukran MosDef
 
"Timu kama City hata mpinzani awe nan when they are at the peak, they are not bottle it"

Whats that sentence? umeandika nini hapo?

Kwamba, City can go on a run? yes its true, they can go on a run, but hiyo ni how you measure point-collection metrics kwenye title race? you're out of your mind.

Secret kubwa ya kushinda TITLE RACE, ni kuchukua 3 POINTS kwa TEAMS ambazo una uwezo wa kuchukua 3 POINTS, ukiachana na hizi gimmicks/tambo zetu za kishabiki, hakuna shabiki mwenye right mind, iwe wa LFC, Arsenal, City, Utd, Chelsea & Spurs (traditional top 6), anaenda kwenye hizi games akiwa na uhakika wa 3 points, the best you can do katika hizi fixtures ni KUTOKUPOTEZA games, kwasababu ni big fixtures, so chochote kinaweza kutokea.

LFC, wakati tunapoteza titles kwa 1 point margins na City, zilizokuwa zinatuua na draws against dross-teams kama Leicester & Burnley etc, kwasababu hizi ni teams ambazo unatakiwa uzifunge, kulingana na gap ya ubora wako na wao, na kwa kile mnachokipigania kwa wakati huo, Kwasababu hizi dross-teams ndiyo zinakusaidia ku-accumulate/adjust point-collection numbers ya zile ambazo ume-drop/utadrop against the big six.

Mfano, Man city results against the big 6 last season ilikuwa ni mbaya kuliko Arsenal.

Loss & a draw Vs Arsenal
2 draws Vs LFC
2 wins Vs Utd
2 draws Vs Chelsea
Draw & a Win Vs Spurs

Meaning Arsenal had an advantage against City, because walikuwa wame-collect 4 points kwenye fixture yao, and City, just 1 point, but City, akaja kubeba kombe mbele ya Arsenal? WHY? because City made sure anashinda games zote ambazo anatakiwa KUSHINDA, ili kufidia hiyo gap hapo, kwahyo kauli yako ya kuwa City akiwa anataka title anampiga mtu yeyote yule, ni kauli ambayo haina mashiko, na ilikuwa inahitaji research ndogo tu, ili kujua kushinda title ni suala la MAHESABU tu.

Msimu huu, tumepoteza game moja tu, but kama tuki-draw against Forest & Brentford (back to back), achana na Arsenal, City will be back kwenye picture, na they can win the league if they go on a run, despite ya wao kupoteza games nyingi kuliko sisi, and the funny thing, kwa Arsenal bado tuna advantage, simpy because they have failed to beat Brighton this season, (2 draws), draw yao ya juzi bado inafanya tu-afford a draw against Forest, but we will need a win against Brentford, kwa kifupi ni kuwa we can afford 1 win kwenye our next 2 games, tukishinda zote, itakuwa ni BIG BONUS, but we cant afford to lose, a draw and a win, itafanya tuwe safe, Arsenal wangekuwa wameshinda at Amex, pressure ingekuwa huge, then sitegemei wala siendi na matokeo at The City Ground, Forest wapo kwenye top form, wapo nyumbani, na ni tough stadium, a win or a draw will be perfect and enough.
Mkuu hapo ni ishu ya timing( hiki ndicho kilichomfelisha zaidi Klopp, ukiacha pia sababu zingine)

Mfano 2018-19 City were suposed to beat us at Etihad ili ku close the gap na wakafanikiwa, what if it was viceversa?

Last seazon City have to beat Spurs( na unajua jinsi gani spurs anamsumbuaga City) ila kwavile City ilipaswa ashinde that time na alishinda( LFC tusingeweza)

Last seazon at that crucial time tulitakiwa tumfunge Arsenal at Anfield tuseal title race guess what happen, ukiondoa makosa ya refa lakini ile bigest chance missed ikatuondoa kwenye reli

Before last seazon, City walitakiwa kuifunga Arsenal ili waclose gap huku wakiwa na mechi mkononi na walifanya hivo( LFC tusingeweza)

Ubingwa hauamuliwi kwa kushinda tuu but timing ya kuwafunga wapinzani wako

Ni ujinga kumfunga united 7-0 when ur not even in tittle race kisha ukiwa kwenye title race humfungi at crucial time.
 
Hii round ya pili huwa ngumu sana hasa unapokuwa na mashindano mengi kama sasa ....pili wachezaji wanakuwa na uchovu ,Arsenal katolewa FL .sasa nasi ndiyo muda mzuri wa kupangilia game na kupynguza uchovu wa wachezaji kwa baadhi ya game
 
Nakubaliana na wewe kwenye hili, binafsi pia nilikuwa namlaumu sana TAA kwenyebishu ya ukabaji. Ila kuna mahojiano niliyaona ya Klopp wakati akiwa bado kocha wetu akilielezea hilo the same way ulivyolielezea.
Itishe kusema tu, sisi baadhi ya mashabiki tukimaliza kuangalia mpira ndio imeisha. Mahojiano ya wachezaji na makocha baada ya mechi ni kitu ambacho wengi wetu hatufatilii.
Alifanya makosa game na Man U sawa, lakini inatokea siku mbaya ofisini kwa yeyote. The same kwa Maguire kushindwa kumalizia msumari wa mwisho kutuweka msalabani.
Shukran MosDef

Trent is not that popular among LFC fans.

People just hate him, for no reason.

He just want a better deal, kama LFC wakishindwa kumpa, wengine watampa.

Salah wants a better deal, VVD wants a better deal, Konate wants a better deal, but kwa Trent imekuwa shida.

These fans, wanajua deep-down kuwa Trent ni WC, haya maneno wanayorusha tu ni ku-save face, kama ilivyokuwa kwa Owen, Torres, Suarez, Sterling, Coutinho etc.

Mtu ambaye anaingalia hii LFC ya Slot, week in, week out, na bado ana-question defensive stats za Trent & his role, siyo wa kumchukulia serious now, ni emotions zinakuwa zinasumbua, bado anakiwa hajakubaliana na ukweli kuwa Trent anaweza kuondoka LFC.
 
We have got 2 fit CBs now, & Konate is not even full fit.

If we dont act hii january, then itakuwa ni UZEMBE mkubwa sana, & its not like tulikuwa na big summer.

for now looks like Slot will settle na Endo as a makeshift CB.
 
We have got 2 fit CBs now, & Konate is not even full fit.

If we dont act hii january, then itakuwa ni UZEMBE mkubwa sana, & its not like tulikuwa na big summer.

for now looks like Slot will settle na Endo as a makeshift CB.
Tumebakiwa na 2 senior CB, hii tayari ni crisis, If anything happens to Virgil, this team is done,It's a game over, Itakuwa ni disaster.
 
Kaka, LFC fans hawakushtuka kipindi kile, bado wanadhani tunawaponda FSG kwasababu ya chuki tu.

FSG wametukosesha vitu vingi sana as owners, sometimes tulikuwa tunajificha kwenye kichaka cha kuwa Klopp hataki kusajili, now hayupo, excuses zitakuwa zipi?
Mpaka hapa ishafahamika tatizo wala halikua Klopp Kupenda small squad mbali ni FSG kuangalia zaid wage structure na investment ya wachezaji kwao sio priorities kabisa.
Baada ya kusaini VVD Hatujawai tena kusaini elite CB kamwe, as Konate sio finished article when he came. Hii ni ishara kwamba aidha FSG ni wasoma nyota ambazo mara nyingi huegemea kutoa mazuri ama wapo clueless au hata kuangalia tu historia ya mafanikio ya Fergi aliyapata kwa kufuata mfumo upi wa usajili.
Hesabu za Fergi ubingwa EPL ilikua afunge timu zote kuanzia nafasi ya 5 kushuka mpaka nafasi ya 20 yaani alikua anapambana mno ajikusanyie pointi za kutosha ili akikutana na Big 4 wa enzi hizo akikosa ushindi iwe sare na hata akifungwo basi anapoteza pointi chache sana haya mahesabu Fergi ndio yalimpa mafanikio makubwa. Sasa unavyoona Liverpool ya sasa tunatoka sare na Fulham au Newcastle etc ujue hio kwetu ni hesabu inakua ngumu haswa.
Haya yote mwisho wa msimu yanatunyima ubingwa maana utakuja kutazama kipindi sare na vipigo vinatufuata basi kipara yeye ni ushindi tu hajui kingine.
Mara kadhaa tumejikuta na nafasi adimu kama tulipo January tunaongoza ligi na dirisha lipo wazi na tuna majeruhi lakin FSG watawalipa spinning master social media ionekana eti kwamba wachezaji wanaowahitaji hawauzwi hii January hivyo inapita kimya kimya, hakuna mchezaji asiena bei soko likiwa wazi ni kuonesha nia tu na kuweka of mezani.
Bila kuingia sokoni na kinachoedelea pale CBR kwa Konate, Gomez na Quansah basi tutegemee kuona Gravenberch au Endo wakicheza markshift CB na mech bado nyingi sana kwa kweli na point zinasaksa left n right.
Yangu macho tu kwa FSG tuone kama wanataka ubingwa au wanataka Big 4 na kusogea mbali UCL wakusanye ela za maana.
Hopeless FSG wanaboa.

YNWA
 
We have got 2 fit CBs now, & Konate is not even full fit.

If we dont act hii january, then itakuwa ni UZEMBE mkubwa sana, & its not like tulikuwa na big summer.

for now looks like Slot will settle na Endo as a makeshift CB.
Its makes me to think Edwards was brought back to assist the new gaffer to mould another Liverpool machine ambayo ungekuja kushinda ubingwa 2026 hukoo hivyo ma staa players wauzwe ama waachiwe mikataba iishe waodoke huku tukiaminishwa its will take another 3 or 4 years Liverpool to compete for the Trophies EPL na UCL jambo ambalo hata wakati anatua Slot tayari FSG spinners walishaanza kulisema. Tooo bad for FSG msimu huu Kipara na wengine wamekua average mpaka sasa na too good wachezaji Liverpool wamepokea na kuelewa anachokitaka Slot na wametekeleza to the letter kiasi sasa Liverpool ipo top UCL na top EPL. Kama hawawezi kuona hii fursa basi tena maumivu tusubiri maana who knows kama Arsenal au Manchester City au Chelsea au Nottingham Forest wanaweza kua winning period wakati tunapata sare hapa na pale na kuipunguza ile gepu, EPL hua haina mwenyewe kuanzia January ni open race na hua ni ushindi tuu hakuna kingine, pata sare at ua own cost.
We need CB as early as now mara pap unasoma wanamtaka Kimichi like for real unless guy not renewing alipo waamue ku cash in now basi hizi ni spinning za FSG again.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom