Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Dogo ana balaa. Liverpool kama kawaida wali m scout akiwa Ajax lakin kama ujuavyo FSG mpaka watake wao ndio dili lingepita...Kuna Dogo anacheza Napoli anaitwa David Neres,, winger ya kushoto, huyu dogo anamwendo kama Sane,, kipara akimuona sidhani kama atamuacha.
YNWA
