Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 19,152
- 43,109
Sorry man 😃😃😃Sasa mbona unamuambia aje kwetu wakati sisi ndio vinara wa ustaarabu? Hao wengine sawa, ila hapo kwetu umekosea.
Kuna vijana wa hovyo sana, mpira wa ulaya ni burudani lakini wao huja na ushabiki maandazi wa Simba na Yanga mpaka kwenye nyuzi kama hizi
