Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

The highest-paid player at each Premier League team! 🤑
Screenshot 2024-12-12 at 19.53.42.png
 
Nunez bado ni striker bora kama hafungi bado ana mishe mishe zinazotamanisha labda kesho atafunga anasidia majukumu mengine uwanjani!
 
Nunez bado ni striker bora kama hafungi bado ana mishe mishe zinazotamanisha labda kesho atafunga anasidia majukumu mengine uwanjani!
mkuu wanaposema hafungi wanamaanisha kwenye mechi 19 kafunga goli 3 tu, mbaya zaidi anashindwa kulenga goli anapiga nje hata akibaki na kipa yeye ana kugongesha Miamba duh.😂 kufunga magoli haufundishwi. kama haujui haujui tu.
Hiyo striker bora linakujaje hapo mkuu kama hata ubakie wewe na goli unapiga nje.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom