Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Jana nimesikia mnasema tofauti ya Eric 7+3Hag, na Arterta ni kipara tuHongereni kwa kunipigia wale mijusi milia. Endeleeni kupambania ubingwa maana inaonekana sisi tunahitaji kukaa na kujitadakari kidogo halafu tuanze tena kutembeza vichapo
Hamjathema bado


