Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,533
- 235,284
Jana nimesikia mnasema tofauti ya Eric 7+3Hag, na Arterta ni kipara tuHongereni kwa kunipigia wale mijusi milia. Endeleeni kupambania ubingwa maana inaonekana sisi tunahitaji kukaa na kujitadakari kidogo halafu tuanze tena kutembeza vichapo
Hamjathema bado