King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,463
- 7,457
Kanusha kwa hoja acha porojo
Ikitokea wameanza basi kuna mid mwingine atakua dropout, ila sio kwenye ule utatu tena
[emoji1787]Hivi Salah huyu ndiyo Watu walitaka auzwe sio?
Sio mtazamo, ni swala la ufundi tuu hapo, hushangai kwanini leo kaidrop hiyo trioMpira ni mchezo ambao mchezaji anacheza based on performance na sio based on Mtazamo.
Hivyo yoyote anaweza kucheza na yoyote usikate hukumu kubwa haiwezi kutokea.
Sio mtazamo, ni swala la ufundi tuu hapo, hushangai kwanini leo kaidrop hiyo trio
Yani wewe Umewataka ushindi Arsenal na kusema umewabetia, then umewataka ushindi Manure na kusema umewabetia.Liverpool BINGWA EPL
Kwa maoni yangu liverpool wangechukua mzigo wa pesa. Kikosini tusingeona mapungufu yake. Kwa kuwa dirisha kwa saudi ni mpaka tarehe 7 mwezi huu, chochote kinaweza kutokea.Hivi Salah huyu ndiyo Watu walitaka auzwe sio?