IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,830
- 7,374
π€£ π€£ π€£ Tusaidie kama bonus wasepe Gomez, Thiago na Matip pia.Tulikubaliana babu anadeal na Milnerπ€£
Aka the hockey stick boy....Wakati Southampton kuna Ward prawse.... .Bora kuliko mount
Utafuta kauli hii msimu ujao... Wewe haya π€£π€£πWafia timu wawili na janjajanja mmoja
Asije leta gudu la pale darajani Anfield.Klopp aachane na Mount sijui anacho mpendea ni nini tu
Kuna mtoto wamemtoa Ghana Suleimana pia anafaa sanaAka the hockey stick boy....
Pale Southampton wapo wachezaji wafuatao mbao Klopp lazima awaangilie kwa jicho la kipekee especially kama wakishuka daraja
Kama ifuatavyo
Beki kuna
Muhammad Salisu CB
Duje culeta CB
Kyle Walker RB
Midfielders
James Ward Prowse
Mussa Djenapo
Diallo
Romeo Laiva
Hapo Klopp anapata squad player wa kueleweka na wenye uzoefu wa EPL.
YNWA
Angekua kibongo bongo ungesema Milner na Henderson wana kamzizi kutoka Kyela ka hatari sana aisee...Kumb ni kaka yake? [emoji3060][emoji3060][emoji3060]Sikuwa najua hili.
Yeah ile ile 2020 alipaswa kuondoshwa 2021 ox na keita 2022 matip na gomez tusingeyapitia haya.
Naona recruitment board imeweka ngumu kwa Milner, Ox na keita kuongezewa mkataba. Wamemkaanga Klopp.
Alitaka kumuongezea Bobby, Bobby akamuwahi akataka kumuongezea Milner, Milner na kina Ward wakamuwahi.
[emoji28][emoji28][emoji28] au Klopp mwenyewe kawazunguka wanae tu anawazuga..??? Maana baada ya kuchabangwa 3-0 na Wolves alisema we need huge changes and we will do this time.
Tumshukuru Milner kwa yote, ana mazuri yake pia.
YNWA
Sijataja mtu lakiniπUtafuta kauli hii msimu ujao... Wewe haya π€£π€£π
YNWA
π π Ni MF ndio ishu naamini watakua wanajipanga kurejea EPL next season hivyo wengine labda wawe na vipengele vya kuuzwa kama klabu ikipokea ofa hii basi watauzwa tu...Kuna mtoto wamemtoa Ghana Suleimana pia anafaa sana
I need my reward firstπ€£ π€£ π€£ Tusaidie kama bonus wasepe Gomez, Thiago na Matip pia.
YNWA
π π π π Utaifuta tu aisee.Sijataja mtu lakiniπ
Asa wewe fanya kazi kwanza aafu tusherekee.. Kuona hao ma dead woods hawapo lol..I need my reward first
Usinilishe maneno mieπ π π π Utaifuta tu aisee.
YNWA
As usual Klopp na jopo lake ni under the carpet design kama alivyotua Jota na Fabinho...Replacement za
Firmino
Milner
Ox
Keita ni zipi so far?
Nimemsikia McAllister only...any news?
Kazi ya Milner ishakamilikaAsa wewe fanya kazi kwanza aafu tusherekee.. Kuona hao ma dead woods hawapo lol..
YNWA
π π Unamuonea tu aafu walishaji wa ma assist ni Milner, Henderson ππlike serious Miss Liverpool haha wakati yule muachia nywele analishwa na prime KDB, Grealish, Mahrez, Gudgon ππebu tuishie hapo.Usinilishe maneno mie
Sijataja jina π
Aisee ngoja nimwite Malafyale Liverpool owner toka Ipinda Kyela..Angekua kibongo bongo ungesema Milner na Henderson wana kamzizi kutoka Kyela ka hatari sana aisee...
Ipo hivi hawa wachezaji sio machine aisee ni binadamu tangu Milner alivyoonekana ni surplus to requirement pale Manchester City wameshashinda nadhani mataji manne au matano ya EPL hivyo utaona impact ya kuodoka kwake ilikua sawa na hakuna.. Cha kujiuliza kipi kimewafanya wenye maamuzi kukomaa na hawa over 30s kwa muda huu na mikataba mirefu ni ajabu kweli
YNWA
π π π π π ππΏππΏPiga kwa mpigo kabla Keita hajapaa kwenda Guinea akirejea Klopp anaghairisha anasema Kieta mitatu tena.Kazi ya Milner ishakamilika
Nilipwe kwanza kabla sijaendelea
πππ₯Aisee ngoja nimwite Malafyale Liverpool owner toka Ipinda Kyela..
Utatueleza vizuri kuhusu Kyelaπ€£π€£π€£π€£
Huyo Manunuz wako sijamtaja Mimiππ π Unamuonea tu aafu walishaji wa ma assist ni Milner, Henderson ππlike serious Miss Liverpool haha wakati yule muachia nywele analishwa na prime KDB, Grealish, Mahrez, Gudgon ππebu tuishie hapo.
YNWA