Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Yaani Sasahivi inabidi tufungwe mechi zote zilizobaki ili angalau bangi zipungue kichwani kwa huyu mzee.
Ila kununua kama Chelsea bila kuzingatia uwiano wa mahitaji nako ni tatizo kubwa sana aisee.

Klopp tangu atue Liverpool kwenye usajili nampa 8 out 10. Ukiachana na hawa last minute panick buy kama Kabak, Melo nk na ukiachana Keita, Thiago, Ox.. Kwingine amejitahidi sana kupata value for money kwa mfano kwa Robertson kwa £8m, Salah £36m, Mane 34m, Jota £40m, Matip free, Gini £25m, nk nk... Hivyo utaona amepata maximum returns kwa hawa wachezaji wake in terms of trophies won na kukuza brand ya Liverpool.

Sasa ndio nashangaa sana FSG hua tunaangalia mechi sawa? Maana mahitaji ya Liverpool yapo wazi wazi tuna pedestrian Midfield na tuna over played back line bila back up ya maana kwa misimu mingi tu na wao wapo wametulia tuli. Kuumia kwa VVD msimu ule ilikua wake call kwa kufanya extensive search ya CM na CBL wenye umri wa chini waje wawe under study ya hawa wakongwe. Lakini kwa kuishi kwa kukopi yamewakuta sasa.

YNWA
 

Wonders shall never end.

YNWA
 

Mie hii ni furaha yangu, wachapike mifuko haswa. Ni vile hatuwezi kukosa hata conference tulipaswa kuwa kama Chelsea tu, tushirikiane maumivu sawa na yankees wale.

Hawa majamaa ubahili upo damuni tu. Kwenye michezo kote walikowekeza kwenye vilabu ni vilio tu.

Liverpool
Boston red sox
Pittsburgh penguins
 

Hapo kasoro Salah na Alison tu, wengine dk 45 kurudi chini zinawatosha.

Klopp akiharibu anaharibu kweli na akipatia mnasahau yooooote
 

Kabisa.
Halafu Kane anahojiwa mwisho wa mechi anadai hamukumuona Robbo, damn it.
Hizi moments hutengenezwa na wachezaji pamoja na marefa pia. Kwa makocha is slightly to happen.

Spurs akiwa Richarlson wataona moto tukikutana nao.

Palace baada ya ile comeback ya 2014 from 3-0 to 3-3 basi waka raise up their matches vs us. Baada ya muda mfupi wakatulia.
 
🙆🏿🙆🏿🙆🏿🙆🏿Palacw duuh yule dogo Dwight Gayle alitunyima ubingwa.. I remember Surez cried like a baby.

That why EPL is special aisee no matokeo ya mfukoni kabisa.

YNWA
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Time will tell mate.

YNWA

[emoji28][emoji28][emoji28] together
Im comfortable with Europe. Hii njia inaweza leta quadruple (im dreaming) [emoji3]

Saint Anne anataka tufungwe. Gari limewaka hili. Tunashinda zote zilizobaki. Japo timu yenyewe inaweza kukupa presha usiyoitarajia
Klopp ana nyota kali sana, penye hamna yeye ndio pananjia.
 
[emoji1552][emoji1552][emoji1552][emoji1552]Palacw duuh yule dogo Dwight Gayle alitunyima ubingwa.. I remember Surez cried like a baby.

That why EPL is special aisee no matokeo ya mfukoni kabisa.

YNWA

Moja ya mechi chungu sana kwa Liverpool ni ile.

Tungejua kupambana kuchukua ubingwa wa epl hii ni misimu we were very close to be crowned.

2008/2009
2013/2014
2018/2019
2021/2022

YNWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…