Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 4,103
- 6,699
Yaani hakimbii kabisa.Ana shinda gani na mshahara kwake wa Β£200k kwa wiki.
YNWA
πππTuna imani na Milner mitano
VVD ni kisiki na ukuta mitano tena
Anderson apewe muda
FSG kikosi kilichopo kinatosha
Leo Gakpo ana jambo lake na Chugga man.Yaani hakimbii kabisa.
Sema ametuletea mdogo ake yupo motoπ,nimeanza kumpenda huyu mtoto.
Mkuu mpambae atue pale Luis Enrique au Zidane na mambo yatakua π₯ π₯ π₯... Hizi tetesi za kwamba mnataka Rodgers, Silva wa Fulham mtaishia hapo hapo mlipo.Unajiuliza Potter timu iliongoza dk 60 anafanya sub ya Either Denis Zakaria, Gallagher, Ekwechuku sijui, au Loftus...Sasa huyu kocha anataka kupata kitu gani? Wachezaji wanajigonga gonna tu.
Mara Loftus acheze beki na mabeki wapo nje...mpuuzi sana jamaa.
Villas yeye alikua mapepe asiyekuwa na mbinu kabisa...ngoja tuone, ila Chelsea isipojiangalia itapitia hali ya timua timua kama ya Real madrid...
Walimtimua Morinyo...mara Carlo mara Zidane...mara Lopegui...Mara Zidane....Carlo.
Kazi ipo....
Aninyooshee matakataka ya kina OllaChuga OcLeo Gakpo ana jambo lake na Chugga man.
YNWA
Mimi na Bachelor ll msimamo wetu ni uleuleMkuu mpambae atue pale Luis Enrique au Zidane na mambo yatakua π₯ π₯ π₯... Hizi tetesi za kwamba mnataka Rodgers, Silva wa Fulham mtaishia hapo hapo mlipo.
Lazima atue marquee signing ambae kwanza atamaliza ego za wachezaji na awe kiunganishi kati ya wachezaji, wamiliki na mashabiki...
Ama mrudi kwa Mourinho ππππ.
YNWA
Ingekuwa ni wewe ungeweza kumvumilia Potter kweli?View attachment 2574525
Duuh hii klabu hua hawana jambo la uvumilivu kwao ni aidha matokeo ya ushindi ama kibarua kimeisha.
YNWA
Well with FSG stingy pockets we are heading south big time... Attracting potential target without Champions League becomes really difficult guys.. That means Klopp might pay over the means to nab the incomings...Tutakua back
Stronger than ever
πππππPoter huwezi amini kabla hajatua Chelsea nilikua namuona kama future contender wa mikoba ya Klopp na bado na imani nae ππ utanisamehe he is young with loaded potential.Ingekuwa ni wewe ungeweza kumvumilia Potter kweli?
Hivi wako na uhakika alikuwa kocha kweli?π€£π€£π€£
Muache Kalleher wangu jamaniWell with FSG stingy pockets we are heading south big time... Attracting potential target without Champions League becomes really difficult guys.. That means Klopp might pay over the means to nab the incomings...
FSG need to get financial backing by "outside" investors ili kutimiza kiu ya Klopp kusajili angalau
MF 3
CB 2
RB 1
RW 1
Mauzo sana sana atapata pesa akiwauza
Kelleher πsori Miss Liverpool
Phillips
Thiago well he need to go
Matip
Nk nk nk.
YNWA
πππππPoor Potter bila preseason amechemka idea zake kueleweka but inaonyesha ku survive hizo timu kubwa sio suala la kua na kipaji tu mbali kuna mambo ya ziada lazima kocha awe nayo. Naamini kazi yake baada ya Chelsea atakua smart enough.
Kwamba unataka kusema ana kipaji?π€£π€£π€£πππππPoor Potter bila preseason amechemka idea zake kueleweka but inaonyesha ku survive hizo timu kubwa sio suala la kua na kipaji tu mbali kuna mambo ya ziada lazima kocha awe nayo. Naamini kazi yake baada ya Chelsea atakua smart enough.
YNWA
Wafuatao mikataba yao inaisha June 2023 na nadra za kupewa mikataba mpya labda kwa mahaba ya Klopp lakini sio based on performance meritMuache Kalleher wangu jamani
Kuna mechi angepewa huyu mtoto tusingefungwa pengine.
Hapo Kuna mafurushi kibao ya kuyauza yakiongozwa na Milner.
Ilikuwa akili Yako timamu au ulikuwa umelewa Bobby wangu?π€£π€£π€£π€£πππππPoter huwezi amini kabla hajatua Chelsea nilikua namuona kama future contender wa mikoba ya Klopp na bado na imani nae ππ utanisamehe he is young with loaded potential.
YNWA
Wote hawa ni mafurushi.Wafuatao mikataba yao inaisha June 2023 na nadra za kupewa mikataba mpya labda kwa mahaba ya Klopp lakini sio based on performance merit
Milner
Firmino,
Ox,
Kieta
Adrian
YNWA
Utulie hivyo πππulisema Klopp out Hahaha wala...Kwamba unataka kusema ana kipaji?π€£π€£π€£
Hapo kati nilikuwa nimeanza kumdis Klopp,ila baada ya kumuona yule jamaa aisee,,Klopp ni bonge la kocha.
Firmino yeye kakwambia Klopp kwamba anahitaji kusaka new challenge kwingine na hana mpango wa kubakia Anfield...Wote hawa ni mafurushi.
Ila yule baba bangi zake utashangaa wanabaki.
Keep his name in ua daily haha huyu utamuona tena performing wonders trust me he ain't that bad ni just he was in the right job in the wrong time.Ilikuwa akili Yako timamu au ulikuwa umelewa Bobby wangu?π€£π€£π€£π€£