Afadhali arejeeHe is almost there... Meaning akirejea na Klopp aache uoga itakua itakua Diaz LW, Nunez CF, na Salah RW hapo itakua kazi kazi.
YNWA
Hivi huyu jamaa Arthur Melo ana undugu na boss wetu Maxence Melo ??Wakati hua nashindwa swa kuelewa kabisa hiki kitengo cha usajili Liverpool kwa sababu baadhi hawa wachezaji trend zao za majeruhi zinajulikana hata kabla hawajaja Liverpool kwa mfano Konate, Thiago na huyu Arthur Melo...
Ni hatari sana kwa Klopp kama muumini wa kikosi kiduchu kinachocheza pressing game aafu wanakwenda kusajili wachezaji design hii na huku pia kikosini kukiwa na wagonjwa wengine Ox, Keita, Gomez na Matip aafu tutegemee nini sasa kama sio maumivu kwa sababu uzima wao sio guaranteed na msimu huu ni mfano mzuri kabisa namna majeruhi yalivyotuadhiri.
YNWA
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi Nyie liverkenge ili jukwaa mmewaachia hawa tu Captain Marvelous pamoja na Saint Anne tu maana ndo wanajichekesha tu hapa wenyewe.
Yani mna mashabiki vilaza kweli man u pamoja na kubolonga lakini jukwaa letu alijawai kupoa kama huku.
😂 😂 😂 😂 😂 We are super pathetic losers man... Probably mashabiki wengi hawajazoea tulipo sasa wameamua kujipa likizo mpaka msimu ujao...Hivi Nyie liverkenge ili jukwaa mmewaachia hawa tu Captain Marvelous pamoja na Saint Anne tu maana ndo wanajichekesha tu hapa wenyewe.
Yani mna mashabiki vilaza kweli man u pamoja na kubolonga lakini jukwaa letu alijawai kupoa kama huku.
Anacheza klabu za vijana ana dakika kadhaa kule lakini timu ya wakubwa sidhani hata kama ana dakika 15 huyu tena ilikua mechi ya ugenini UCL vs Napoli na baada ya hapo hajawai kua na uzima wa kupata dakika.Hivi huyu jamaa Arthur Melo ana undugu na boss wetu Maxence Melo ??
Kwanza amecheza mechi ngapi?[emoji23][emoji23][emoji23]
Tulipigwa.
Akwende tu[emoji16]Klabu za vijana ana dakika kadhaa lakini timu ya wakubwa sidhani hata kama ana dakika 15 huyu tena ilikua mechi ya ugenini vs Napoli na baada ya hapo hajawai kua na uzima wa kupata dakika.
Alifurahia sana kuja Liverpool lakini majeruhi kwa mara nyingine katika career yake yamemtupa hukoo.
Historia kwa ufupi tangu ahamia Ulaya.
Mwaka 2018 Barcelona walimnunua £35m kutoka Gremio Brazil akiwa ndio mridhi wa Inesta na akapewa jezi namba 8 pale Barcelona akasaini mkataba wa miaka 6 na kipengele cha mauzo kikawekwa £345m...
Mwaka 2019 aliuzwa kwenda Juventus kwa bei ya £66m. Alicheza pale Juventus kwa miaka.
Mwaka jana 2022 akahamia Liverpool kwa mkopo na Liverpool akapewa kipengele rafiki.
Hajawai kucheza gemu 20 kwa msimu katika popote pale tangu ahamie Ulaya.
Bye bye Arthur Melo.
YNWA
Sisi tupo, ije mvua, lije jua[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] We are super pathetic losers man... Probably mashabiki wengi hawajazoea tulipo sasa wameamua kujipa likizo mpaka msimu ujao...
Mie na Miss Liverpool tupo tupo na fresh kabisa hakuna noma ndugu.
YNWA
Liverpool = never say die.Sisi tupo, ije mvua, lije jua
We are Liverpool [emoji7]
YNWA[emoji3590]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi huyu jamaa Arthur Melo ana undugu na boss wetu Maxence Melo ??
Kwanza amecheza mechi ngapi?[emoji23][emoji23][emoji23]
Tulipigwa.
madrid ao[emoji2089]
Bado tuna imani na MilnerFlorian Wirtz , huyu dogo liver wanamtaka FUNDI KIUNGO