Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,584
- 235,438
Msimu uliopita kugawa vichapo ilikuwa kawaida kwetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Klopp at his best.. Ndio mechi ya kwanza msimu huu pekee nimeona nini tumeki miss msimu huu.
YNWA
Alikuwa anaenda kumshtua De gea wasepe zao mpira umewashinda [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah[emoji24][emoji24][emoji24][emoji2772][emoji2772][emoji2772][emoji2772][emoji2772]Bobby kaangalia maslahi mapana ya Liverpool hakua mbinafsi na baada ya kuona tupo kwenye mikono salama ya Nunez, Jota na Gakpo ameamua kuodoka zake akacheze kwingine na amegoma kuanzisha mazungumzo yoyote na timu yoyote ile mpaka ligi iishe kwa kuheshimu mkataba wake na Liverpool...
YNWA
Yeah! Ila sio Milner [emoji23][emoji23]Dah[emoji24][emoji24][emoji24]
Kuna mijitu ya kina Milner hata haiangalii maslahi mapana na timu
Bobby hata akibaki angalau ana kitu cha kutupa
Kile Kipara atakikuna sana leo na maswali mengi bila majibu.
Unajua nikitoka hapa nimepanicUwe unamsikiliza besti ako Baba Swalehe.
Don't get overboard though we are yet out of the woods mpaka tuingie mazima Top 4.
YNWA
Na kanavyopenda kulia[emoji23][emoji23]Refa hakua na muda na kelele zake ilikua ni kazi kazi wala muda wa hizo antics haukuwepo.
YNWA
Matumaini yamerudi. Sio kwa sababu ya game ya leo. Tangu tulipocheza na Real Madrid tulicheza vizuri. Sema Madrid walituzidi. Tutaenda Uefa tena. Nina uhakika kwa % nyingi Spurs, Newcastle hawawezi kumaliza ligi wakiwa juu yetu. Labda Brighton wanaweza kutusumbua.Klopp leo apewe tu 10 zote
Leo jamaa ametuprove wrong tuliokuwa tumekata Tamaa [emoji119]
An end nyenyenyeView attachment 2538578
Back to the drawing board aelewe hii ni EPL aache dharau kwa kua ni kocha wa timu kubwa aelewe Anfield sio pakwenda na mihemuko.
YNWA
Thiago Alcantara angei destroy Ile team single-handedlyNa hapo Thiago Alcantara hakuwepo [emoji1787][emoji1787] Elliott tu alikuwa anasumbua pale kati [emoji23][emoji23]