Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,583
- 235,438
Shughuli ipo.Hahaha Mpemba ni pure Red Devil flesh n blood hivyo ni sworn enemy wa Kops army yaaani kama namuona atakavyomkibiza Trent japo kwa gemu kama hii tension hua zipo juu sana ndio maana nikakujuza kwa kua wote vikosi vipo almost complete timu itakayokua na prepared mind ndio mshindi na pia bahati nayo iwe upande wetu...
Nunez ana jambo lake na hawa jamaa anataka kujitangaza kwamba sio flop kwa kuwafunga mahasimu wetu...
Atakaekamata pale kati ndio mshindi wa hii gemu..
Rashford vs Nunez...nani atafumunia nyavu na kuleta ushindi.
YNWA
🤣🤣🤣🤣🤣Wewe na Henderson haha jamani huyu mzoee tu kwamba unae sana tu haedi kokote mpaka 2027 😔 😔 😔 😔...Shughuli ipo.
Ila mpira wa united kwa sasa ni mkali sana
Na hayachoki yaani.
Timu yetu ikicheza kawaida kama tunavyofanya utani na akina Hendo,tutachapwa.
Tukijikaza sana labda tunaweza pata draw au tukashinda.
Hendo ndani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe na Henderson haha jamani huyu mzoee tu kwamba unae sana tu haedi kokote mpaka 2027 [emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17]...
Ni kweli kwa sasa ETG mbinu zake zinaeleweka na wachezaji wake na angalau wamekua na wakati mwema mwaka huu kwa msaada mkubwa sana wa Rashford na ukuta imara... Kazi yetu moja tu kuzima mipira isifike kwa Rashford ina maana tukimbie zaidi tukiwa hatuna mpira ili kuziba mianya yote endapo wachezaji wetu wataruhusu hawa jamaa watazidi kwenye ball recovery, ball retention, easy transition nk basi tujue mapema tu kwamba ETG atatoka kifua mbele..
Miss Liverpool nipe kikosi chako leo bila shaka Henderson naona hayumo[emoji13][emoji13][emoji13]
YNWA
Usiwawazie saanaa hawa. We pigaaa tuuIts takes just one single wrong pass, 1 through ball, 1 corner, 1 Trent super pass nk kuwakata hio momentum hawa jamaa ishu ipo kwetu ndugu hatuna uwezo wa kubana tusipigwe under presha kwa dakika 90+ yaaani huo ubavu hatuna...
Sijui huko mazoezini Klopp atakua kaja ni lipi kusaka ushindi muhimu ila kama 4 3 3 ndio chaguo lake sina hakika sana kama tutakua salama...
Kwa kasi na momentum ya Red Devils ni dhahiri hawa wachezewe 4 4 2 ama 4 3 2 1.
Waleteeeee.
YNWA
Milner ana uzoefu wa kuwafunga Manchester United eti 🤣🤣.. Khaa iwe Milner vs Rashford wewe unataka kumtoa maini Milner sio bure...Hendo ndani
Milner ndani.
Na tunasubiri tuwafunge UTD,nyie
Haya ngoja tuone.
Unajua Nunez anaweza perform kwa nguvu zake zote,akina Salah wakapambana weee
Ila huyu nyuma yapo ya kina Milner.
Hakuna mpira tutacheza hapo.
Nashukuru Mkuu.Usiwawazie saanaa hawa. We pigaaa tuu
Hahahaaaa we muache anyatie nyatie tu yakimkuta shauli yake [emoji23][emoji23] sisi niwashabiki tu ila mwenye kibarua niyeye. Arthur melo sijui kacheza game ngapi tu [emoji1787][emoji1787]Moja ya mambo ambayo hua yanishangaza sana ni Klopp kutoa ruhusa baadhi ya hawa wachezaji wanunuliwe kwa mfano Thiago, Melo, Ox hawa hata kabla hawajaja Liverpool rekodi zao za majeruhi zinajulikana vyema sana lakini klabu yenye kikosi kiduchu inakwenda mazima kuwanunua ni ajali kazini kwa sababu hawatoboi bila majeraha ya mara kwa mara.
Aafu unasoma mahala eti Klopp anamnyatia Kante ndio unachoka kabisa
YNWA
Hiyo ni kuongeza tu confidence kwa wachezaji maana kwenye ligi kumfunga Liverpool akiwa nyumbani huwa ni ngumu sana.View attachment 2537792
Kwa hio baada ya kushinda Carabao huyu anajiona ni Fergie mzee wa hair dryer aisee haya maneno yake ajitazame sana ana safari ndefu sana.
YNWA
Kuna mijitu imeshikilia Liverpool kama gundi
Sijui wanataka hadi wafie kwenye hii timu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utashangaa Milner anabaki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Luka SHOWHahaha Mpemba ni pure Red Devil flesh n blood hivyo ni sworn enemy wa Kops army yaaani kama namuona atakavyomkibiza Trent japo kwa gemu kama hii tension hua zipo juu sana ndio maana nikakujuza kwa kua wote vikosi vipo almost complete timu itakayokua na prepared mind ndio mshindi na pia bahati nayo iwe upande wetu...
Nunez ana jambo lake na hawa jamaa anataka kujitangaza kwamba sio flop kwa kuwafunga mahasimu wetu...
Atakaekamata pale kati ndio mshindi wa hii gemu..
Rashford vs Nunez...nani atafumunia nyavu na kuleta ushindi.
YNWA
View attachment 2537792
Kwa hio baada ya kushinda Carabao huyu anajiona ni Fergie mzee wa hair dryer aisee haya maneno yake ajitazame sana ana safari ndefu sana.
YNWA
Akawaulize wenzie waliowahi kuidharau Anfield Atmosphere