Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

amelala yooo
Wameset default mode
IMG-20230216-WA0000.jpg
 
Angekuwepo pengine hali isingekuwa mbaya sana kama ilivyo sasa.
Shinda kuu ya hii klabu inaanzia pale kati kati hawana msaada kwenda mbele wala hawana msaada kuzuia mashambulizi....

Kimsingi tumerudi nyuma kama tupo msimu wa 2015 aisee kazi ya Klopp kurudisha hii timu kwenye ukali ni kubwa ajabu sio kazi rahisi.

Muda wa kuuza klabu unazidi kuyoyoma kwa kua FSG wanataka kuuza hisa kadhaa na sio kuuza klabu mazima yaaani hii niliitegemea kabisa kwa kua wameshaoja faida hawaki kuachilia mazima mbali kiasi cha umiliki.

Mtihani sasa Klopp pesa za kuwanunua hao wachezaji anaohitaji sijui watatoa wapi ama ndio wanaanza na kumuuza Salah.. Kazi kweli kweli

YNWA
 
Nyie ela wanazotumia Chelsea ni ndotoni kuwa nazo aisee khaa FSG hua ubavu hawana kamwe.

Wewe subiri wauze Salah, Matip na Diaz ndio wapate pesa za kuwekeza upya kikosi.

Tuna balaa kubwa pale.

YNWA
Wakimuuza Diaz na Salah na Klopp yupo anatazama, ntaacha kushabikia mpira kwa muda,
Hadi watakapopata akili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom