Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa kweli kwa sasa huyu Yankees hakutaka kubahatisha na usajili tena amesuka kiksosi kamili sana cha kazi na soon mtaanza kuona matunda powa sana... Timu inasukwa na kua idara yenye mbinu tofauti za usajili na wenye kua na mawasiliaono powa na kocha..

Kwa sasa hatujui sie tutaamkia kwa nani hakuna cha Ward wala Edwards

YNWA
Kuondoka kwa Ward hivi haiwez kuwa kwa sababu wamiliki wapya kuwa imminent, maan hata mwaka haujaisha mtu kama Ward kusepa.
 
Its happening
Screenshot_20221127-121930_1.jpg
 
Kuondoka kwa Ward hivi haiwez kuwa kwa sababu wamiliki wapya kuwa imminent, maan hata mwaka haujaisha mtu kama Ward kusepa.
Bhana ishu za Liverpool tangu zamani hua ni chini ya kapeti labda usome kwa James Pearce ama kwa home boy wetu MosDef ndio utajua kama kuna uhusiano wa Ward kusepa na kupatikana kwa wamiliki wapya klabuni.

Muda utasema lakini.

Hao wamiliki wapya waje tu maana FSG wamefika mwisho wa kuweka mkwaja wao.

YNWA
 
Hizi kuku zimeshaanza kunenepeana humu ndani, bora World Cup iishe haraka tuanze kusikia vilio vya maumivu humu jukwaani.
 
Bhana ishu za Liverpool tangu zamani hua ni chini ya kapeti labda usome kwa James Pearce ama kwa home boy wetu MosDef ndio utajua kama kuna uhusiano wa Ward kusepa na kupatikana kwa wamiliki wapya klabuni.

Muda utasema lakini.

Hao wamiliki wapya waje tu maana FSG wamefika mwisho wa kuweka mkwaja wao.

YNWA
MosDef huwa anahabar nzuri sana, huwa nikikuta post yake lazima niipitie, japo me nishabiki wa chelsea,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom